Majighu2015
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,941
- 3,963
Hawa watu wana hela ukiongea nao vuzuri wanakupa hela bila tatizo.. Kauli ya mtu flan hiyo. Hii nchi ina mali nyingi tunabaki kuombaomba badala ya kutumia bongo. Raisi anafanya kazi nzuri.
mission town.Achana naye kabisa mtoto wa mjini, ukimfuatilia akupeleka chaka..Hiyo namba nyingine.Teeeeeeeeh teeeeeeeeh, ndio maana hapendi kukaa sana bongo
Teeeeeeh teeeeeeeeh, chezea mkwere weye? Kamwachia ngosha ng'ondo anahangaika nalomission town.Achana naye kabisa mtoto wa mjini, ukimfuatilia akupeleka chaka..Hiyo namba nyingine.
Halafu we ajuza hii credibility ya correction where did you get it from or you just errupted like a volcano???= mabaradhuli
Mtu anakula chakula cha Emirate, analala kwenye 5 star dunia nzima halafu unashangaa hilo? Alichokuwa anajiuliza ni yupi katoa wimbo mzuri mwaka huu na timu gani imefunga zaidi hapo ndo ilikuwa nafasi yake. Napo ni pale kaachwa na pipa kwa siku hiyo basi.Halafu Jk Alikuwa hajui kwa nini Tanzania ni maskini.!
Mtu anakula chakula cha Emirate, analala kwenye 5 star dunia nzima halafu unashangaa hilo? Alichokuwa anajiuliza ni yupi katoa wimbo mzuri mwaka huu na timu gani imefunga zaidi hapo ndo ilikuwa nafasi yake. Napo ni pale kaachwa na pipa kwa siku hiyo basi.
Meaning? Please elaborate clearly tunatofautiana ujuvi.Usisahau na kuwakinaisha watafutaji mafuta na gesi kuwekeza kwa pesa zao na sasa una zaidi ya cubic feet trillion 60 za gesi.
Meaning? Please elaborate clearly tunatofautiana ujuvi.
Tusiweke sifa kwa mtu mmoja maana exploration ilianza kabla yake, hata during Nyerere walikuwa wameshagundua hayo mafuta. Nyerere hakupenda mambo yaende kwa kasi bila watu kuandaliwa. Wakati wa Mkapa alikazania kwanza mawasiliano. Barabara ziwe nzuri. Nilisikitika kuona mikataba yote aliyosaini Mkapa wakampa sifa Kikwete. Mkapa aliwatafuta wafadhili lakini Kikwete alikuwa endeleze kazi ya mtangulizi wake.Kikwete kwa juhudi zake za kidiplomasia na charisma aliyojaaliwa na Allah ameweza kuwakinaisha wawekezaji kuja kafanya exploration kwa fedha zao wenyewe, na matokeo yake leo hii tuna uhakika wa cubic feet trillion 60 na exploration inaendelea.
aise mdau hiyo point japo kwa bongo bado sana kufanyikaMnaonaje wakinyongwa tu hao wahusika?
safi sana mdau umemaliza kila kitu hapoTusiweke sifa kwa mtu mmoja maana exploration ilianza kabla yake, hata during Nyerere walikuwa wameshagundua hayo mafuta. Nyerere hakupenda mambo yaende kwa kasi bila watu kuandaliwa. Wakati wa Mkapa alikazania kwanza mawasiliano. Barabara ziwe nzuri. Nilisikitika kuona mikataba yote aliyosaini Mkapa wakampa sifa Kikwete. Mkapa aliwatafuta wafadhili lakini Kikwete alikuwa endeleze kazi ya mtangulizi wake.
Be frank it does not take only ten years to trace, identy and explore natural resources like oil, minerals and likes. Haya mafuta na madini kama Iron Ore inayopatikana ukanda wa ziwa imejulikana muda mrefu, mbona hawajaweza kuyavuna? Mambo yanayoendana na technology hayana uhusihano na politics or sera sababu yanahitaji resources na preparations dada yangu.
hahaha nimeshindwa kushangaa aise mdau duuuuu bongo kuna maajabu sanaHalafu Jk Alikuwa hajui kwa nini Tanzania ni maskini.!