Recent content by Mbilimbili

  1. M

    Haya maandishi ya kwenye nguo sasa yamepitiliza.

    Ni uelewa mdogo coz m2 anavaa 2 bango bila kujielewa.
  2. M

    Yanga 3 - apr 1

    Game imeisha?
  3. M

    charminglady kafiwa na bibi yake!

    Pole charminglady
  4. M

    Hivi Mgao umeanza tena kimyakimya?

    Leo tena ni mambo kama ya juzi au ni huku nilipo tu?
  5. M

    Hivi Mgao umeanza tena kimyakimya?

    Huku njiapanda Himo tokea saa 3 na nusu asbh hadi time hii full giza, jana pia saa 12 hv jioni hadi usiku wa manane ndio wamerudisha. Nilijua Ngeleja kichefuchefu lkn huyu waziri mpya ni balaa zaidi.
  6. M

    Nifanye nini ili aniamini

    Hey Marry, nakupa pole sababu jamaa hana time na ww tena ila anataka amege tunda kwanza then athaminishe na muda uliomsumbua. Mimi binafsi kuna binti nilimpenda sana toka 2006 hivi akanizingua lkn 2011 akaja nitafuta, kwa kuwa nilikuwa nishamtamkia nampenda nilijiachia kwake. Lakini nasikitika...
  7. M

    Hawa ndio freemason?

    nina mashaka.
  8. M

    Hawa ndio freemason?

    ngoja nijikate.
  9. M

    Hawa ndio freemason?

    na kweli hapa kazi tu.
  10. M

    Hawa ndio freemason?

    asante Chief
  11. M

    Hawa ndio freemason?

    ngastuka!
Back
Top Bottom