Huku njiapanda Himo tokea saa 3 na nusu asbh hadi time hii full giza, jana pia saa 12 hv jioni hadi usiku wa manane ndio wamerudisha. Nilijua Ngeleja kichefuchefu lkn huyu waziri mpya ni balaa zaidi.
Hey Marry, nakupa pole sababu jamaa hana time na ww tena ila anataka amege tunda kwanza then athaminishe na muda uliomsumbua. Mimi binafsi kuna binti nilimpenda sana toka 2006 hivi akanizingua lkn 2011 akaja nitafuta, kwa kuwa nilikuwa nishamtamkia nampenda nilijiachia kwake. Lakini nasikitika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.