Recent content by MBIIRWA

  1. MBIIRWA

    Shabiby yapata ajali usiku wa kuamkia leo, mmoja afariki

    Kwamba zilipaswa kutokea ngapi kwa utafiti wako.
  2. MBIIRWA

    Plot4Sale Jipatie Viwanja na Mashamba Dodoma

    Mkuu wewe tayari una Bima ya Afya kwa wote
  3. MBIIRWA

    Nakaribia kudhulumiwa, naombeni ushauri

    Wewe ndio mpangaji unajaribu kujiongezea muda.
  4. MBIIRWA

    Drip irrigation

    Ukiweka hapa utapata wateja wengi kuliko kujificha.
  5. MBIIRWA

    Hivi kuna nini cha kuangalia mabaki ya Titanic mpaka kuhatarisha maisha?

    Nazungua kulipia hela nyingi kama milioni 500 kufuata kifo
  6. MBIIRWA

    Hivi kuna nini cha kuangalia mabaki ya Titanic mpaka kuhatarisha maisha?

    Ndio hivyo unalipia hela nyingi kufa
  7. MBIIRWA

    Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

    Mkuu upo vizuri, hata kama ni Stori ya kutunga kupitia hizi hustles tuna cha kujifunza
  8. MBIIRWA

    Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

    Muda wa BIGI, sawa
  9. MBIIRWA

    Mohamed Mchengerwa Wizara 3 chini ya mwaka mmoja, ni bahati au mkosi?

    Daah.. teuzi hizi Profesa Eliamani hata valentine inakuwa chungu
  10. MBIIRWA

    Dodoma: 12 wafariki na 63 kujeruhiwa kwenye ajali ya Basi la Frester kogongana na Lori

    Kwa kweli naona umuhimu wa Katiba Mpya, ungeweza kumjibu kistaarabu tu
  11. MBIIRWA

    Tukibaki Hai, Tutasimulia

    Pamoja Mkuu, kule story ya BIGI lazima akutengue kiuno kule korongoni
  12. MBIIRWA

    Tukibaki Hai, Tutasimulia

    Sio kama ulifyonzwa kwanza
Back
Top Bottom