Dah wee mwenyewe utakuwa Na tatizo,unaonekana kuwa so selective kwani haiwezekani kila mtu kwako awe mbaya. Waone wataalum wa saikolojia watakuaaisia kabla ya kuingia kwenye maombi.
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Mkuu huyo mpendwa wa Jeshi letu nchini alitua jana JNIA saa 09:15 alasiri akitokea Dubai na shirika la ndege la Emirates baada ya ziara za kikazi Italy na Uingereza kisha Marekani alikolazwa mkewe na kupitia Dubai,sasa picha yake ya nini? Tatizo wazushi wa taarifa mbaya za mkuu wetu wa Jeshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.