Recent content by mbeyasafi

  1. M

    Mange amshambulia Lulu

    Mange akiwa kwenye siku zake huwa hana rafiki,kabla hajawa kwenye siku zake alimtetea sana Lulu. Hatuna haja ya kufuatilia sana kwakuwa tumeshamjua.
  2. M

    Natamani kupenda tena

    Dah wee mwenyewe utakuwa Na tatizo,unaonekana kuwa so selective kwani haiwezekani kila mtu kwako awe mbaya. Waone wataalum wa saikolojia watakuaaisia kabla ya kuingia kwenye maombi. Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
  3. M

    Natongozwa sana na wanawake

    Una nyota ya kenge
  4. M

    TBC hawaishi kuchemka

    Sasa hujaelewa nini hapo?
  5. M

    Wakati mwingine wanasiasa wawe wakweli, Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa hakuwa na ziara rasmi Tanzania

    Akina msigwa na mtatiro hawawezi kuishi bila kudanganya
  6. M

    CCM msikubali marekebisho ya Katiba yenu, mtakwisha!!!

    Mabadiliko upinzani washashindwa,naona sahz ni hofu tu mwa ccm. Kaeni tu na waovu hukohuko,
  7. M

    CCM msikubali marekebisho ya Katiba yenu, mtakwisha!!!

    Ovyo kweli, mabadiliko yanafanywa na ccm,mpinzani inakuwashia nini? Mnayahofu eeh,subirini moto wake.
  8. M

    Mkuu wa Majeshi, Davis Mwamunyange kuwasili nchini 16th Oct, baada ya ziara nje ya nchi

    Mkuu huyo mpendwa wa Jeshi letu nchini alitua jana JNIA saa 09:15 alasiri akitokea Dubai na shirika la ndege la Emirates baada ya ziara za kikazi Italy na Uingereza kisha Marekani alikolazwa mkewe na kupitia Dubai,sasa picha yake ya nini? Tatizo wazushi wa taarifa mbaya za mkuu wetu wa Jeshi...
  9. M

    Star TV mbona hamumwaliki Kingunge?

    Hata itv hawawaaliki akina polepole sijui kwa nini yaani!
Back
Top Bottom