Hakukua na tija yeyote ya kuhamisha udhibiti wa chakula na vipodozi kutoka TFDA kwenda TBS, zaidi zaidi tu wametengeneza loopholes kibao za wapigaji Kwa sababu ya uwezo mdogo wa TBS kwenye area hio.
Punguza ujuaji basi duuh umekazana majina ya Moshi majina ya Moshi kwa taarifa yako sasa, huku mkoa wa Songwe wilaya ya Ileje kuna eneo linaitwa kwa Mboya wala hawana uhusiano wowote na KLM achilia mbali hiyo kulowea uliyong'ang'ania.
Badae utasema hata yule Tom Mboya wa Kenya nae ni mchaga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.