Recent content by MBEYAILEMBO

  1. MBEYAILEMBO

    JamiiForums Tanzania TFDA imara yenye watendaji Makini ni muhimu

    Hakukua na tija yeyote ya kuhamisha udhibiti wa chakula na vipodozi kutoka TFDA kwenda TBS, zaidi zaidi tu wametengeneza loopholes kibao za wapigaji Kwa sababu ya uwezo mdogo wa TBS kwenye area hio.
  2. MBEYAILEMBO

    JamiiForums Tanzania Rushwa NSSF Ilala imekithiri mnooo, Msaada wa Takukuru unahitajika

    Huyo ni mfanyakazi wa NSSF.
  3. MBEYAILEMBO

    JamiiForums Tanzania Baraka Mpenja aonywa kuhusu kuchanganya habari za Chama chake cha CCM na Matangazo ya Soka, si kila mtazama soka ni mwanaccm

    Kwani akiitaja Umalila yetu mara Kwa mara we unumia nini?
  4. MBEYAILEMBO

    JamiiForums Tanzania Ajali yaua ndugu watano wakitoka msibani Mbeya

    Punguza ujuaji basi duuh umekazana majina ya Moshi majina ya Moshi kwa taarifa yako sasa, huku mkoa wa Songwe wilaya ya Ileje kuna eneo linaitwa kwa Mboya wala hawana uhusiano wowote na KLM achilia mbali hiyo kulowea uliyong'ang'ania. Badae utasema hata yule Tom Mboya wa Kenya nae ni mchaga.
  5. MBEYAILEMBO

    JamiiForums Tanzania Naona kama 2021 Millard Ayo atazidiwa sana na SNS

    Ongea kwa facts lete figures badala ya maneno matupu.
  6. MBEYAILEMBO

    JamiiForums Tanzania Naona kama 2021 Millard Ayo atazidiwa sana na SNS

    Acha viroja hapa tunazungumzia Millard Ayo na Sns nimekuletea takwimu ya kila kitu umeanza kuruka ruka kama Malaya.
  7. MBEYAILEMBO

    JamiiForums Tanzania Naona kama 2021 Millard Ayo atazidiwa sana na SNS

    Sio kweli angalia screenshot hizo mzee za SNS na Millard ayo compare hizo takwimu afu uendelee kuargue tena.
  8. MBEYAILEMBO

    JamiiForums Tanzania Naona kama 2021 Millard Ayo atazidiwa sana na SNS

    Hujui unachokisema angalia trend ya subscription toka 2018 kwa YouTube channels zote ndo uje ulete hizo ngojera zako hapa.
  9. MBEYAILEMBO

    JamiiForums Tanzania Sababu ya Siasa: Biashara Kariakoo zinakufa kisa kuwapenda na kuwakumbatia machinga

    Naona ndo kawaida yako kuchezea libolo fc.
  10. MBEYAILEMBO

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wakuu msaada tutani nahitaji wimbo wa Nash mc ft Nikki Mbishi- Adimu mwenye nao aupakie hapa tuupate wana.
  11. MBEYAILEMBO

    JamiiForums Tanzania GE2020 Yaliyojiri sehemu mbalimbali Tanzania katika zoezi la upigaji kura za Rais - Oktoba 28, 2020

    Teh teh unafurahia CCM kujigawia kura yenyewe we jamaa kichwa maji kweli yani kituo hakina wakala afu unaka kusifia.
  12. MBEYAILEMBO

    JamiiForums Tanzania GE2020 Yaliyojiri sehemu mbalimbali Tanzania katika zoezi la upigaji kura za Rais - Oktoba 28, 2020

    Trend ipi mataga ya kuwatoa mawakala kwa nguvu?
Back
Top Bottom