Ni jambo jema!Habari Zilizotufikia Hivi Punde, IGP Simon SIRO Amefanya mabadiliko ya Mkuu wa Trafik Na Kumteua Wilbroad Mutafungwa kuwa Mkuu Mpya wa kikosi cha usalama barabarani.
Fortunatus Muslim anaenda kuwa RPC Mkoa wa Morogoro.
JF kiboko, wiki moja iliyopita ililetwa mada kuhusu haya Mapinduzi na jinsi yalivyokuwa ya moto. Naona leo kitu kimewekwa hewani. Hongera Members JF
Hapo wamebadilishiwa majukumu tu wala hakuna aliyepanda wala kushuka cheo, ila kwa hela za kiwi Muslim kala shavu zaidi, hakuna sehemu yenye umateumate pale polisi Kama uRPC ukiondoa IGPHii imekaaje wajuvi wa mambo? Ilitokea kwa Mpinga na sasa kwa Muslim,yaani utoke Tanzania nzima uende mkoani.Hii mbona ni kama demotion? Wajuvi wa vyeo vya polisi tudadavulieni
Habari Zilizotufikia Hivi Punde, IGP Simon SIRRO Amefanya mabadiliko ya Mkuu wa Trafik Na Kumteua Wilbroad Mutafungwa kuwa Mkuu Mpya wa kikosi cha usalama barabarani.
Fortunatus Muslim anaenda kuwa RPC Mkoa wa Morogoro.
Mkuu, kwenye suala la ukubwa wa mkoa wa Morogoro ninaomba kukuunga mkono. Ninadhani ipo siku huu mkoa utabidi uvunje mara mbili kwa maana umetapakaa saaaana.Morogoro ilitulizwa sana na kamanda Mutafungwa, binafsi nimshukuru, pamoja na ukubwa wa mkoa.