Recent content by Mbeya City Spurs I

  1. Mbeya City Spurs I

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Habari wakuu. Kuna wimbo wa Kisauzi (Kwaito) naomba naweka instrument yake hapa, naomba kujua jina lake na video ikiwa ipo.
  2. Mbeya City Spurs I

    Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Mbeya Joseph Mbilinyi aahirisha kuhamishia biashara zake South Africa ili kumpa nafasi Rais mpya

    Acheni siasa za kiki nyie nyumbu. Ni uonevu gani serikali ilifanya dhidi yake? Uonevu pekee ambao ulikuwa mbioni kufanyika, maraehemu JPM aliingilia kati ukaisha. Nilimsikia bungeni siku moja akiilaumu serikali kudhibiti posho na safari kwamba hatua hiyo iliathiri sekta ndogo ya hoteli na yeye...
  3. Mbeya City Spurs I

    JKT yasitisha Mikataba ya Vijana 854 waliofanya Uasi

    Wao pia hawaaminiki. Unagomaje jeshini! Kizazi kimekuwa laini kweli.
  4. Mbeya City Spurs I

    JKT yasitisha Mikataba ya Vijana 854 waliofanya Uasi

    Anzeni kujifunza kutuma post bila kumtaja hayati. Ni ngumu ila mtazoea tu. Inavyoonesha legacy yake imepanga bure vichwani mwenu. Viva JPM. Haters wako hawaachi kukutaja kwenye post zao huku mitandaoni.
  5. Mbeya City Spurs I

    JKT yasitisha Mikataba ya Vijana 854 waliofanya Uasi

    Muanze kujifunza kumaliza siku bila kumtaja Magufuli. Mnamtaja mara nyingi kuliko wanavyomtaja wafuasi wake. Inaonesha mzimu wake unawatesa nyie nyumbu kuliko vile unavyowatesa wafuasi wake.
  6. Mbeya City Spurs I

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Hiyo ndiyo faida ya kujifanyia feasibility study mwenyewe. Hauwezi kupigwa kifala fala kama yanavyopigwa manyang'au.
  7. Mbeya City Spurs I

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Thanks, nimeiona hapo juu. Ngoja niipekue.
  8. Mbeya City Spurs I

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hii project ikoje wakuu. Naomba nondo kidogo. Pia hapo ndipo ilikuwa Ubungo stendi, siyo?
  9. Mbeya City Spurs I

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Wapo. Wanasoma VETA, sekondari za binafsi au vyuo. Pia wengine husoma kwenye tuition centres mtaani na kisha kufanya mitihani ya kitaifa kama private candidates. Hivyo vituo vya mitihani ni both private & gvt. Ujinga tulioukataa ni kuruhusu warudi kuendelea na masomo sanjari na wenzao kwenye...
  10. Mbeya City Spurs I

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Inaonyesha Magufuli ataishi vichwani mwenu nyie haters wake kwa muda mrefu kuliko hata sisi wafuasi wake. Hiyo ndiyo sifa moja wapo ya legends. Kila uchao akili zenu zinapambana na legacy ya Magu. So lazima mje na vipost vya aina hiyo kupunguza sumu! Vippers!
  11. Mbeya City Spurs I

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Sishangai, haya mambo siyo size yenu. Niletee mradi wenu wa tune ya $2.3bn mnaotekeleza kwa fedha zenu wenyewe kisha tuendelee na debate. Otherwise just cool down baby!
  12. Mbeya City Spurs I

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kwa hivyo kwa akili yako wewe mkweli ni yupi hapo? Kuna watu mnakera ki ukweli. Kama hujalielewa bandiko ya nini kujibu? Kitu hukielewi unakausha.
  13. Mbeya City Spurs I

    UTEUZI: Rais Samia ateua Katibu wa Rais, Mnikulu na wasaidizi wake wa Uchumi, Sheria, Siasa, Diplomasia n.k

    Hakuna ujanja. Magufuli ataendelea kuwatesa vichwani mwenu milele. Lazima mumtaje, vinginevyo nafsi zenu hazitulii. Viva Magufuli. Wanaokuchukia hawapost bila kukutaja. Umewakaa vichwani kuliko hata wale wanaokupenda.
  14. Mbeya City Spurs I

    Naomba Majibu Tafadhali: 'Mfumo imara' ni nini?

    Wafuasi wa hicho kitu kiitwacho "mfumo imara" ni wale watu wavivu na dhaifu kiutendaji. Wasioamini katika uongozi. Watu kaliba ya yule CAG mstaafu aliyezinduka juzi akasema angalau asilimia 60 ya watumishi wa umma hawana uwezo stahiki. Yeye kwa mfano, alitolea mfano kampuni ya Microsoft...
  15. Mbeya City Spurs I

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Tupate wadhamini kidogo. Bongo raha sana. Hospitali ya Nkinga Tabora huko.
Back
Top Bottom