Recent content by mberege rukiko

  1. M

    Walimu bora wa shule za sekondari kwa nyakati zote hapa Tanzania

    Nyie nenden mkunguni bar mpya au kwa anah kule juuu mambo ya walimu yaacheni
  2. M

    Walimu bora wa shule za sekondari kwa nyakati zote hapa Tanzania

    Mkuu ivumwe umenikumbusha huyo madam wakat nipo olevel ila mwangosi hahaha mtata sana nakumbuka kesi yake etanatembea na mwanafunzi majibu yakenilicheka sana ila ivumwe pale olevel vilijaaa vichwa maji sana walimu wakqlilishaji
  3. M

    Msaada: Naomba ufafanuzi kuhusu mafao ya NSSF

    Mkuu mimi nimeweka fingerprinting juzi je watanipa pesa yote au?
  4. M

    Tujuzane kuhusu NSSF

    Wakuu juzi nmeweka finger print pale NSSF naomba kujua kama mpunga watatoa wote je ndani ya muda gani kwa wenye uzoefu tafadhali mnijuze
  5. M

    Mdau: Baada ya baba kupotea, rafiki yake ametuma watu wenye silaha kuvamia nyumba yetu akitaka tuhame

    Huyo mtoto mwenye cheo kikubwa jwtz ni ana cheo gani wakuu tumjue hata kwa picha
  6. M

    Mshahara wa mwenye PhD Zanzibar ni kiasi gani?

    Mkuuu znz mishahara ipo chini sana serikalini tofaut na tanganyika
  7. M

    Hali tete wakuu mwenye connection kazi za Ulinzi

    Mkuu mliachishwa kazi kwa barua?
  8. M

    NSSF Balance inasoma 0.00 ina maana gani?

    Form ishajazwa mkuu shida barua ya kuacha kaz wameikataaa
  9. M

    NSSF Balance inasoma 0.00 ina maana gani?

    Jamaaa kagoma nawaza nifanye yangu tu kupata hyo barua
Back
Top Bottom