Tangu kilipoanzishwa tu kimekua na changamoto nyingi zikiwepo usajili na kutofata utaratibu wa Tanzania.
Kwa waliomaliza 2013 rudi nyuma hawatoi transcript.
Baadhi ya couruse zao hazitambuliki nacte au Tcu, ushahidi nnao.
Kuna watu wana transcript za uganda ambazo zina masomo hawakuwahi...
Dah. Uzuri graduate wa Mzumbe huwa tunajikuta tu hatuwez kujibizana mambo yasiyo ya msingi.
Kwa mtoa maada nenda ukasome kwa miaka 3 Tu. Fanya kinachokupeleka shule.
Unahitajika kutumia daraja D kwa muda wa usiopungua miaka mitatu , baada ya hapo utaenda kusomea tena course fupi upate daraja E. Utadumu na daraja E tena kwa muda usiopungua miaka 3. Ndio uwe na sifa za kwenda Veta au NIT tu kupata mafunzo ya daraja C.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.