Msaada: Chuo cha Uongozi wa mahakama Lushoto

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,345
73,923
Kijana amechaguliwa chuo cha uongozi wa mahakama Lushoto, certificate. Mwisho wa kozi hiii ni upi? ie akimaliza anaendelea na nini (diploma, I guess ?????).
Hoja yangu: Je anaruhusiwa kuchukua sheria baada ya diploma?
 
Ila GPA mkuu usisau kumkumbusha ajitahid apate 3. na kuendelea
Nashukuru sana. amepata hapo certificate. Nimemweleza kuwa ana njia ngumu kufikia degree kwa level aliyoanzia
 
Back
Top Bottom