Money is a reward after solving somebody's problem. Sasa wewe nani uombe tu pesa upewe unconditionally. Ukiwa na shida na pesa fanya kazi upate zako, ukipenda kitonga no way out lazima uliwe nundu!!.
Kwa uuguzi na Ukunga nadhani haupo sawa. Graduate wa uuguzi na Ukunga (degree) nchi nzima ambao hawapo kwenye mfumo rasmi wa ajira hawazidi 2000. Lakini wanaupiga mwingi katika hospital za private na vyuo vya kati kama wakufunzi. Wengine wanaenda NGOs kibao, wapo MDH, mkapa foundation, IHI na...
Wanachuo wengi sana wataripoti mkuu ila wataishi maisha magumu sana katika kipindi chote cha maisha ya chuo. Dada zetu watakuwa katika kipindi kigumu chenye ushawishi mkubwa kutokana na njaa. Tutegemee wanachuo kuishi kwa pasi ndefu kwa sana!
Ningekushauri usome data science. Data science ina future nzuri sana maana kwa sasa na siku zijazo dunia itakumbua na "massive creation of data" Hivyo data managers watahitajika kwa kiasi kikubwa. Unaweza kuwa data analyst katika field tofauti tofauti kama afya, projects mbali mbal, viwanda etc...
Unahitaji kushukuru kwa ulichokipata. Kozi za afya, sayansi na zinazofanana na hizo zilipewa priority wakati uhitaji ulikuwa mkubwa na watu walikuwa wachache. Kwa sasa wahitimu wa kozi hizo ni wengi mtaani na wanaohitaji mkopo ni wengi zaidi.
Kazi kubwa ya serikali ni kukusanya kodi. Haiwezi kuajili kila mtu, hali ya ukosefu wa ajira ipo kila sehemu duniani ingawa tofauti ni ukubwa wa tatizo. Hali ya uchumi wa taifa letu kwa sasa ni mbaya, hivyo nafasi za ajira ni chache sana ukilinganisha na uhitaji. Tunahitaji kukubaliana na hali...
Nakushauri umtafutie kazi ya kufanya ili imuweke busy kiasi. Nadhani anapata muda na nguvu za kufanya hayo yote kwakuwa mara nyingi anakuwa idle. Mtafutie sehemu atayotumia muda wake na energy anayotumia kukuletea usumbufu
Ukishuka stendi ya mkoa, panda daladala hapo stendi zinazoelekea sabasaba. Ukifika saba saba panda daladala zinazoenda udom ushukie MAKULU, ulale hapo makulu. Makulu ni karibu sana na udom, kwa boda boda ni 2000. Usafiri wa daladala asubuhi sana ni shida hasa kipindi hiki cha likizo.
Unaweza pia...
Hii kitu IPO sana pale MUHAS, kwa taaluma zote ambazo wataalamu watahusika na kuhudumia mgonjwa moja kwa moja kama DDS, nursing, MD na Pharmacy hakuna classification. Hii ni kwa lengo LA kuondoa majigambo/kujikweza kwa baadhi ya watu kwakuwa wanaufaulu mkubwa zaidi ya wengine!!.
MPH Mara nyingi huwa na soko kubwa ktk NGOs na taasisi mbalimbali kama una background ya afya katika shahada ya kwanza. Ila kwa biochemistry kwa nchi hii sana sana inahitajika kwa waalimu wa vyuo!!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.