Fiziolojia
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 815
- 1,085
Wakuu habari za jioni.
Naomba kujuzwa ni kwanini Shahada ya Utabibu/Medical Doctor (MD) au Shahada ya Utabibu wa Wanyama/ Bachelor of Beterinary Science (BVM) hazijaweka kwenye makundi (e.g. first class or upper second class,etc) kama zinavyowekwa shahada nyingine?
Naomba kujuzwa ni kwanini Shahada ya Utabibu/Medical Doctor (MD) au Shahada ya Utabibu wa Wanyama/ Bachelor of Beterinary Science (BVM) hazijaweka kwenye makundi (e.g. first class or upper second class,etc) kama zinavyowekwa shahada nyingine?