Endeleeni kutanua ni Wakati wenu.
CHADEMA Hamnazo kama Malaya. Mmesahau Nyie kutwa mlikuwa mnamtukana Mzee Kikwete kuwa Anasafiri saaaana, ametuingiza hasara, mlisema anabadilisha Madini na neti za kuzuia Mbu n.k.
So What I seee, Endeleeni tuuuuu
Wapuuzi Wakubwa nyie.
Risasi Mpige wenyewe na Maigizo muyafanye wenyewe. Aliyempiga Risasi ni Yule ambaye hataki kuguswa kwenye nafasi ya Mwenyekiti. Naona hapo patakuwa pameeeleweka🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani Job Description iweje.
May be lakini naona ni ngumu. Ni sawa na useme unga uive peke yake na maji yaive peke yake bila kuvichanganya. Cz CID ni Polisi huyohuyo. Anauwezo wa kukamata, Kuhoji, Kupekua, kupeleleza. Naona sijui umewaza Jambo gani nje ya Boksi
Una Matatizo ya kufikilia, utakuwa wewe si Mtanzania. Watanzania hatuna hizo biashara za Ukabila/Ukanda labda huko kwenu ambako mnetengeneza Makabila kimkakati kama huko Kenya, Burundi, Rwanda, N.k.
Cc Watanzania tuliisha ikataa Dhana ya kujadili Makabila na nina uhakika hata viongozi wa...
Mimi naona anatajwa yeye kwasababu ya kuwa Hai na Mwenyekiti naye ni wa Hai so Everything is Possible.
Na Kingine anaweza kulalamikiwa sana kutokana na Malalamiko dhidi yake kuratibiwa kwa kiwango kikubwa na Mapedejeee wa Hai wale waliokuwa wakifaidika moja kwa moja na uwepo wa Mwenyekiti...
Hili ni Janga la Dunia na si Janga la Tanzania pekee. So wataalam wa Afya waendelee kuwa walinzi wazuri wa Afya za Watanzania.
Watalii tunawahitaji sana ila Covid 19 hatuiitaki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.