Kandarasi ya kulinda legacy, wafadhili wamechemsha?

Taga lingine hili huku wakuu
Uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii njoooniii huku
Muhuni huyu jamaa lipumbavu hili

Lazima tuwanyooshe pumbavu zenu mataga nyie
Naona unaidemkia ccm hatari!

Samia mi 10 tena.
 
🤣🤣🤣🤣🤣👊👊 Umeua na kuzika mkuu, BTW Legacy hailindwi wala kupiganiwa legacy inajieleza yenyewe, inajipambanua yenyewe na automatically kama ni legacy yenye manufaa kwa Taifa automatically itakua progressive. Asieamini kifo means haamini kaz ya MUNGU.

OVER
Kwani kwa akili zenu propaganda zenu za kumchafua Hayati mnadhani zitafanikiwa. Ukitakujus zimefeli nenda saizi kawanyanyase wajasiliamali wadogo, Wachimbaji wadogo, au kawatapeli wanyonge uone kama hautatandikwa viboko mpaka ujute kuzaliwa.
Ninachomaanisha tutamkumbuka kwa kutufumbua macho tulivyokuwa tunaibiwa, tutamkumbuka kwa kutuonesha tunaweza kuendesha miradi mikubwa bila kuwategemea wakoloni, tutamkumbuka kwa kuapa kufa kwa ajili ya masikini/wanyonge, tutamkumbuka kwa kuishi siasa za ukweli siyo za kitapeli kama za Kigogo 2014, tutamkumbuka maana alikuwa mtoto wa Masikini.
Ninachomaanisha ni kwamba hangaikeni majizi wakubwa nyie wa mali za umma kumchafua hayati sidhani kama mtafaulu.
Shubamati
 
Hakuna pesa inayotosha ndio maana maisha yetu ni ya kutafuta pesa mpaka tunakufa.

Leo ni siku ya 53 tangu hayati mwendazake atwaliwe kutoka maisha haya... Wafaidikaji wa utawala wake wakajipa kandarasi ya kulinda 'mazuri' yake huku wakipambana mitandaoni na kila aliyejaribu kukosoa utawala wa hayati mwendazake
Hii si kandarasi ndogo hata kidogo.

Kuweza kuiendesha kwa mafanikio mpaka ufikie lengo kunahitaji oganaizesheni kubwa ya pamoja, rasilimali watu, na vyanzo vya uhakika vya mapato

Vikundi tarajiwa kwa maana ya rasilimali watu vilivyotegemewa kuifanya hii kandarasi ni LMB7, MATAGA na kikundi kidogo cha SKM GANG! Lakini kwa bahati mbaya kabisa watatu hawa wakakosa ushirikiano na kuanza kuhitilafiana na kutuhumiana wao kwa wao
Ili uweze kuendesha kampeni ya mafanikio .. Ukiachana na mpango kazi wa mradi wako ... Pesa za kuwezesha na watu wa kufanya kazi ni muhimu sana.

Na hizo pesa lazima zipatikane toka chanzo cha uhakika na endelevu

Mwanzoni baada tu ya kifo mradi ulienda vizuri sana, wafanya kampeni za kulinda legacy walilipwa bila kigugumizi na walipaji walitoa bila kusita....lakini kadiri muda ulivyosogea ukweli mchungu na wa kuogofya sana ulianza kujifunua
Kwamba malipo yanayotoka hayana monitoring ya kueleweka

Kwamba kila sent itokayo hakuna replacement yake tena kwakuwa mfadhili mkuu hayupo tena.

Kwamba malipo yanatofautiana kwa watu wanaofanya kazi moja..kuna wanaopata zaidi na kuna wanaopata kiduchu..!
Kwamba uhitaji wa cash ni mkubwa sana kuliko matarajio na hakuna vyanzo vya mapato
Chini ya siku 100 tayari wanapumulia mashine...kilichobaki sasa hakuna umoja wala kandarasi ya kulinda legacy tena.. Kila mtu na lwake! Wanachoangalia sasa ni maslahi binafsi.. Kuliko kushupaa kulinda legacy ya mfu Yenye gharama kubwa ni heri kulinda chochote alichovuna toka utawala wa hayati mwendazake.

Ni wazi kuna baadhi yao ni wafaidikaji wakubwa wa miradi binafsi ya marehemu waliopewa kuisimamia, ambayo kimsingi ni ya familia ya mwendazake! Si ajabu kati yao kuna walio busy kutaka kuitaifisha na kuigeuza ya kwao.. Na hapa ndio wanachimbana na kutofautiana.

Joto la kulinda legacy linapoa kwa kasi ya aina yake na ikigonga siku ya 100 litakuwa tayari baridi kabisa... Tena ile YABISI... Halafu tutaenda kuizika legacy kwenye makaburi ya sahau.
Joto lingekuwa limepoa usingeandika kuhusu kitu hicho. Ungelipiga kimya kama ambavyo hamuandiki chochote kuhusu kesi mlizodanganywa kupelekwa The Hague! Ahahahahahahahah
 
Hakuna pesa inayotosha ndio maana maisha yetu ni ya kutafuta pesa mpaka tunakufa.

Leo ni siku ya 53 tangu hayati mwendazake atwaliwe kutoka maisha haya... Wafaidikaji wa utawala wake wakajipa kandarasi ya kulinda 'mazuri' yake huku wakipambana mitandaoni na kila aliyejaribu kukosoa utawala wa hayati mwendazake
Hii si kandarasi ndogo hata kidogo.

Kuweza kuiendesha kwa mafanikio mpaka ufikie lengo kunahitaji oganaizesheni kubwa ya pamoja, rasilimali watu, na vyanzo vya uhakika vya mapato

Vikundi tarajiwa kwa maana ya rasilimali watu vilivyotegemewa kuifanya hii kandarasi ni LMB7, MATAGA na kikundi kidogo cha SKM GANG! Lakini kwa bahati mbaya kabisa watatu hawa wakakosa ushirikiano na kuanza kuhitilafiana na kutuhumiana wao kwa wao
Ili uweze kuendesha kampeni ya mafanikio .. Ukiachana na mpango kazi wa mradi wako ... Pesa za kuwezesha na watu wa kufanya kazi ni muhimu sana.

Na hizo pesa lazima zipatikane toka chanzo cha uhakika na endelevu

Mwanzoni baada tu ya kifo mradi ulienda vizuri sana, wafanya kampeni za kulinda legacy walilipwa bila kigugumizi na walipaji walitoa bila kusita....lakini kadiri muda ulivyosogea ukweli mchungu na wa kuogofya sana ulianza kujifunua
Kwamba malipo yanayotoka hayana monitoring ya kueleweka

Kwamba kila sent itokayo hakuna replacement yake tena kwakuwa mfadhili mkuu hayupo tena.

Kwamba malipo yanatofautiana kwa watu wanaofanya kazi moja..kuna wanaopata zaidi na kuna wanaopata kiduchu..!
Kwamba uhitaji wa cash ni mkubwa sana kuliko matarajio na hakuna vyanzo vya mapato
Chini ya siku 100 tayari wanapumulia mashine...kilichobaki sasa hakuna umoja wala kandarasi ya kulinda legacy tena.. Kila mtu na lwake! Wanachoangalia sasa ni maslahi binafsi.. Kuliko kushupaa kulinda legacy ya mfu Yenye gharama kubwa ni heri kulinda chochote alichovuna toka utawala wa hayati mwendazake.

Ni wazi kuna baadhi yao ni wafaidikaji wakubwa wa miradi binafsi ya marehemu waliopewa kuisimamia, ambayo kimsingi ni ya familia ya mwendazake! Si ajabu kati yao kuna walio busy kutaka kuitaifisha na kuigeuza ya kwao.. Na hapa ndio wanachimbana na kutofautiana.

Joto la kulinda legacy linapoa kwa kasi ya aina yake na ikigonga siku ya 100 litakuwa tayari baridi kabisa... Tena ile YABISI... Halafu tutaenda kuizika legacy kwenye makaburi ya sahau.
🤣🤣🤣we jamaa una vimaneno vya kuzodoa. Eti Kandarasi ya legasi
 
Taga lingine hili huku wakuu
Uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii njoooniii huku
Muhuni huyu jamaa lipumbavu hili

Lazima tuwanyooshe pumbavu zenu mataga nyie
TAGA litatotoa viza
 
Kwani kwa akili zenu propaganda zenu za kumchafua Hayati mnadhani zitafanikiwa. Ukitakujus zimefeli nenda saizi kawanyanyase wajasiliamali wadogo, Wachimbaji wadogo, au kawatapeli wanyonge uone kama hautatandikwa viboko mpaka ujute kuzaliwa.
Ninachomaanisha tutamkumbuka kwa kutufumbua macho tulivyokuwa tunaibiwa, tutamkumbuka kwa kutuonesha tunaweza kuendesha miradi mikubwa bila kuwategemea wakoloni, tutamkumbuka kwa kuapa kufa kwa ajili ya masikini/wanyonge, tutamkumbuka kwa kuishi siasa za ukweli siyo za kitapeli kama za Kigogo 2014, tutamkumbuka maana alikuwa mtoto wa Masikini.
Ninachomaanisha ni kwamba hangaikeni majizi wakubwa nyie wa mali za umma kumchafua hayati sidhani kama mtafaulu.
Shubamati
Hujawah ona hata cku moja namchafua fuatilia mwanzo mpaka mwisho, mimi napingana na nyie kuona kiongoz mwingine hafai ila Hayati ndo bora. Halaf nadhan hujitambui na hujui nchi inaendeshwaje, hii scenario ya wakolon cjui mabepari ni ujinga kbs miradi mingi ni fedha ya ufadhili, pili hakunaga wanyonge acha kuwap watanzania majina yasio na maan mnyonge ni ww pekeako. Hao unaosema wakolon huez ishi bila misaada yao ww, hao mabeberu wana provide vitu vingi sana even budget yetu inawategemea. Mwisho kbs nimetafakari nikagundua hujui mamb mengi ni aidha unafuata mkumbo na kuaminishwa tu, Halaf sio shubamati 🤣🤣. Ni shubaaamiiit! Taga wewe
 
Hapo ndo pale unapoamini kuwa legacy haipiganiwi. Inajipigania yenyewe maana nguvu iliotumika kuilinda ilikuwa hatari.
Mpaka unawaza mbona inatumika nguvu kubwa kiasi hiki. Mwishowe tumeona hata bungeni wabunge wakitoa comment zao kuwa kila zama na kitabu chake.
 
Hujawah ona hata cku moja namchafua fuatilia mwanzo mpaka mwisho, mimi napingana na nyie kuona kiongoz mwingine hafai ila Hayati ndo bora. Halaf nadhan hujitambui na hujui nchi inaendeshwaje, hii scenario ya wakolon cjui mabepari ni ujinga kbs miradi mingi ni fedha ya ufadhili, pili hakunaga wanyonge acha kuwap watanzania majina yasio na maan mnyonge ni ww pekeako. Hao unaosema wakolon huez ishi bila misaada yao ww, hao mabeberu wana provide vitu vingi sana even budget yetu inawategemea. Mwisho kbs nimetafakari nikagundua hujui mamb mengi ni aidha unafuata mkumbo na kuaminishwa tu, Halaf sio shubamati . Ni shubaaamiiit! Taga wewe
, Halaf sio shubamati . Ni shubaaamiiit! Taga wewe
 
Ipo siku mtanikumbuka ndugu zangu---- JPM.


Ukiona unashangiliwa na Chadema nenda ukapime uwezo wako wa kufikiri utakuwa umeshuka sana.
Kabla hata ya miezi miwili haijaisha ni wizi kila kona.View attachment 1777292View attachment 1777293
Mkuu hii system mbona tangu kitambo inasumbua, haijawahi kutokea tumekaa mwezi mzima bila kusumbuliwa na system achana na hiyo e-filling kuna kitu kinaitwa Tanzania Electronic Single Window System (TeSWS) Hii unaweza kukaa wiki nzima mzigo wako uko bandari kila ukiuliza unaambiwa tatizo SINGLE WINDOW Na hiyo tangu Marehemu yupo MAGUFULI ,

Kwa muktadha huo basi usituaminishe ya kuwa eti kisa hayupo ndiyo mambo yameanza kukaa vibaya hapana , mifumo yetu haipo vizuri hilo lazima tulikubali .
 
Kwani kwa akili zenu propaganda zenu za kumchafua Hayati mnadhani zitafanikiwa. Ukitakujus zimefeli nenda saizi kawanyanyase wajasiliamali wadogo, Wachimbaji wadogo, au kawatapeli wanyonge uone kama hautatandikwa viboko mpaka ujute kuzaliwa.
Ninachomaanisha tutamkumbuka kwa kutufumbua macho tulivyokuwa tunaibiwa, tutamkumbuka kwa kutuonesha tunaweza kuendesha miradi mikubwa bila kuwategemea wakoloni, tutamkumbuka kwa kuapa kufa kwa ajili ya masikini/wanyonge, tutamkumbuka kwa kuishi siasa za ukweli siyo za kitapeli kama za Kigogo 2014, tutamkumbuka maana alikuwa mtoto wa Masikini.
Ninachomaanisha ni kwamba hangaikeni majizi wakubwa nyie wa mali za umma kumchafua hayati sidhani kama mtafaulu.
Shubamati
, Halaf sio shubamati . Ni shubaaamiiit! Taga wewe....!!!!
 
Hakuna pesa inayotosha ndio maana maisha yetu ni ya kutafuta pesa mpaka tunakufa.

Leo ni siku ya 53 tangu hayati mwendazake atwaliwe kutoka maisha haya... Wafaidikaji wa utawala wake wakajipa kandarasi ya kulinda 'mazuri' yake huku wakipambana mitandaoni na kila aliyejaribu kukosoa utawala wa hayati mwendazake
Hii si kandarasi ndogo hata kidogo.

Kuweza kuiendesha kwa mafanikio mpaka ufikie lengo kunahitaji oganaizesheni kubwa ya pamoja, rasilimali watu, na vyanzo vya uhakika vya mapato

Vikundi tarajiwa kwa maana ya rasilimali watu vilivyotegemewa kuifanya hii kandarasi ni LMB7, MATAGA na kikundi kidogo cha SKM GANG! Lakini kwa bahati mbaya kabisa watatu hawa wakakosa ushirikiano na kuanza kuhitilafiana na kutuhumiana wao kwa wao
Ili uweze kuendesha kampeni ya mafanikio .. Ukiachana na mpango kazi wa mradi wako ... Pesa za kuwezesha na watu wa kufanya kazi ni muhimu sana.

Na hizo pesa lazima zipatikane toka chanzo cha uhakika na endelevu

Mwanzoni baada tu ya kifo mradi ulienda vizuri sana, wafanya kampeni za kulinda legacy walilipwa bila kigugumizi na walipaji walitoa bila kusita....lakini kadiri muda ulivyosogea ukweli mchungu na wa kuogofya sana ulianza kujifunua
Kwamba malipo yanayotoka hayana monitoring ya kueleweka

Kwamba kila sent itokayo hakuna replacement yake tena kwakuwa mfadhili mkuu hayupo tena.

Kwamba malipo yanatofautiana kwa watu wanaofanya kazi moja..kuna wanaopata zaidi na kuna wanaopata kiduchu..!
Kwamba uhitaji wa cash ni mkubwa sana kuliko matarajio na hakuna vyanzo vya mapato
Chini ya siku 100 tayari wanapumulia mashine...kilichobaki sasa hakuna umoja wala kandarasi ya kulinda legacy tena.. Kila mtu na lwake! Wanachoangalia sasa ni maslahi binafsi.. Kuliko kushupaa kulinda legacy ya mfu Yenye gharama kubwa ni heri kulinda chochote alichovuna toka utawala wa hayati mwendazake.

Ni wazi kuna baadhi yao ni wafaidikaji wakubwa wa miradi binafsi ya marehemu waliopewa kuisimamia, ambayo kimsingi ni ya familia ya mwendazake! Si ajabu kati yao kuna walio busy kutaka kuitaifisha na kuigeuza ya kwao.. Na hapa ndio wanachimbana na kutofautiana.

Joto la kulinda legacy linapoa kwa kasi ya aina yake na ikigonga siku ya 100 litakuwa tayari baridi kabisa... Tena ile YABISI... Halafu tutaenda kuizika legacy kwenye makaburi ya sahau.
Mayanga CONT, nahisi miongoni mwa wafadhili wa sukuma gang
 
Ipo siku mtanikumbuka ndugu zangu---- JPM.


Ukiona unashangiliwa na Chadema nenda ukapime uwezo wako wa kufikiri utakuwa umeshuka sana.
Kabla hata ya miezi miwili haijaisha ni wizi kila kona.View attachment 1777292View attachment 1777293
Hii inahusiana vipi sasa na mambo ya chadema? Yaani TRA waseme kuna shida ya kimtandao wakalaumiwe chadema naona mwendo wa Mama umewafanya mlale na viatu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom