Wazee wenzio wakat wanatafuta viwanja magomen na kinondon ww ulkua unaangaika na hips za pis kal kuzkomoa kwa kuzizalisha haya tuko apa mwanaghati tunajpgia uzao wako pole pole
Zaman tulikua tunatumia mchwa, wanatafutwa kama bakuli moja unawaosha vzur unawaanika kisha unawasaga unachanganya na uji anaoutumia mtoto kwa iman yetu mtoto atafunguka tumbo atakua mlaji mpka mzaz utakwazika mana kila utakacho kiacha huta kikuta kitakua kimeliwa
Toyota yuko smart kwa mazngira ya afrca pia anatengenezeka kwa urahis tofaut na zaman serkal ilkua inachukua landrover na isuzu spare zkawa mtihan, saiv toyota yuko na delers wake kila mkoa tanzania na anam a sure serkal ikinunua gar kwake mpka kl 70000 inafanywa na toyota bure.. pia n gar...
Mbwa n vile ulvyomzoesha kama mbwa anaweza kunya hata kwenye ngaz hata angekua german shephad uyo n hajielw, mbwa onatakiwa akifunguliwa kabla ya kwenda kula hata kama chakula kipo mbele yake akimbie mpaka engle anayotakiw kukojoa au ku pu ndio arud kula
Atlset fika 100 nkupe huyu anachanjo zote anaoshwa kila jpl anafunguliwa usku tu hazuruli kama ao unaowaita wa kienyej na jina lake analifaham namwita chiko pia ajisaidii bandan kwake wala mazngra ya nyumban
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.