Recent content by Mbeba Lawama

  1. Mbeba Lawama

    Mabaharia wenzangu, ukitembea na pisi kali, hakikisha unabebesha mimba

    Uez kunielewa kama huna D kwanzia 2 mzee wangu😂
  2. Mbeba Lawama

    Mabaharia wenzangu, ukitembea na pisi kali, hakikisha unabebesha mimba

    Wazee wenzio wakat wanatafuta viwanja magomen na kinondon ww ulkua unaangaika na hips za pis kal kuzkomoa kwa kuzizalisha haya tuko apa mwanaghati tunajpgia uzao wako pole pole
  3. Mbeba Lawama

    Mtoto ambaye hataki kula chakula chochote

    Zaman tulikua tunatumia mchwa, wanatafutwa kama bakuli moja unawaosha vzur unawaanika kisha unawasaga unachanganya na uji anaoutumia mtoto kwa iman yetu mtoto atafunguka tumbo atakua mlaji mpka mzaz utakwazika mana kila utakacho kiacha huta kikuta kitakua kimeliwa
  4. Mbeba Lawama

    Wapi maeneo ya Pwani naweza pata ng’ombe wa maziwa wazuri?

    Kesho ukiiulzwa kuhusu ng'ombe unaanza kujiulza ww na ng'ombe wap na wap mara una conection kikwete anaweza muuzia ng'ombe wake haya ngoja pakuche😂
  5. Mbeba Lawama

    Mwanza ni sehemu gani wanachoma kitimoto Murua?

    Sinai pale kwenye ma garage unashuka mkono wa kushoto kama unaenda mton huta jutia pesa yako
  6. Mbeba Lawama

    Kwanini magari mengi ya serikali ni TOYOTA?

    Toyota yuko smart kwa mazngira ya afrca pia anatengenezeka kwa urahis tofaut na zaman serkal ilkua inachukua landrover na isuzu spare zkawa mtihan, saiv toyota yuko na delers wake kila mkoa tanzania na anam a sure serkal ikinunua gar kwake mpka kl 70000 inafanywa na toyota bure.. pia n gar...
  7. Mbeba Lawama

    Natafuta mbwa wa kufuga Mwanza (wakienyeji)

    Mbwa n vile ulvyomzoesha kama mbwa anaweza kunya hata kwenye ngaz hata angekua german shephad uyo n hajielw, mbwa onatakiwa akifunguliwa kabla ya kwenda kula hata kama chakula kipo mbele yake akimbie mpaka engle anayotakiw kukojoa au ku pu ndio arud kula
  8. Mbeba Lawama

    Mch. Katekela: Kanumba hakufa

    Huyu mchungaj n mweupe sana kichwan
  9. Mbeba Lawama

    Natafuta mbwa wa kufuga Mwanza (wakienyeji)

    Atlset fika 100 nkupe huyu anachanjo zote anaoshwa kila jpl anafunguliwa usku tu hazuruli kama ao unaowaita wa kienyej na jina lake analifaham namwita chiko pia ajisaidii bandan kwake wala mazngra ya nyumban
  10. Mbeba Lawama

    Swali kwako mke unayefanyakazi na kipato chako hakionekani!!

    Wew ukiwa na 80000 na mkeo akawa na 120000 umo ndan mna 80000 na si laki mbil bro
  11. Mbeba Lawama

    UZUSHI Mawingu yenye Mwonekano wa umbo la Yesu yaonekana Angani nchini Kenya

    Kwaio na ww unaamn siku ukienda mbingun utqkutana na yesu wa ivyo et
Back
Top Bottom