achana napo hakuna mzunguko wa kipesa na watu wake n local sana kama ukisema unaenda kwa biashara ya nguo utafel ya chakula utafel sana labda tofal napenyew upambane sana
Nlienda kupma nkaambiwa na marelia nkachukua Alu zile dawa mseto za marelia na panado nkanywa 4 usku ile asubh nkanywa saa kumi na mbil v4 tena nkarud kulala kuja kuamka saa mbil nkasahau kama nlkunywa nkavuta vingne 4 nkameza ndan ya nusu saaa nkaanza kuona kama mambo hayako sawa kizungu zungu...
ngoja nkusaidie mbinu za kivita mzee mwenzangu ila nijibu kwanza hili.. Umefanya kaz kwa muda gan na je ushaenda Nssf kufatilia na kujua unadai shngap nikiwa na maana kwamba minchango yako yote ipo?? kama ipo tafuta mtu mwenye kampun hta ya ulinzi au mwenye shel inayowapa watu wake nssf kisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.