Recent content by Mbeba Lawama

  1. Mbeba Lawama

    Tangia nimeacha kula ugali fikra zangu zimekuwa SHARP!

    bora uendelee kula uo ugal mana unaelekea kwenye kwashakoo
  2. Mbeba Lawama

    Hivi ina maana wachawi hawapo kabisa JF?

    Tupo unataka tukusaidie nn
  3. Mbeba Lawama

    Imewezekanaje Harbinder Sethi kushiriki siasa za CCM huku akiwa ni raia wa Kenya?

    ukusikia raia wa china wenye kampun ya uchimbaj madin wamechangia pia??
  4. Mbeba Lawama

    Mawakili wa Lissu kuweni macho sana, kuna mashahidi wa UONGO wamepangwa, soma hukumu hii mjiridhishe

    kuna sehm nlsoma kua lisu atakutwa na hatia atafungwa kisha mamtu atakuja kumwachia kwa msamaha
  5. Mbeba Lawama

    Msaada Bei ya Tank la Maji la Kiboko (2000L au zaidi) kwa aliyewahi kununua tafadhali

    m nlfata langu kiwandan lita 3000 kwa lak 5 na point
  6. Mbeba Lawama

    Mtaani kwako unafahamika kwa jina gani?

    awanielew somtme napoteaa saa tatu usku wakat mwngne saa kum usku na kurud sku wazizo ztarajia wanashangaa ty natokea getin
  7. Mbeba Lawama

    Nahitaji kufahamu kuhusu mkoa wa Shinyanga

    achana napo hakuna mzunguko wa kipesa na watu wake n local sana kama ukisema unaenda kwa biashara ya nguo utafel ya chakula utafel sana labda tofal napenyew upambane sana
  8. Mbeba Lawama

    Nahitaji kufahamu kuhusu mkoa wa Shinyanga

    uanataka kujua nn tukusaidie mpka namba za wenyekiti wa mitaa
  9. Mbeba Lawama

    Tuliowahi Kuzidisha DOZI. Tukutane hapa. Tuelezee jinsi ilivyokua

    Nlienda kupma nkaambiwa na marelia nkachukua Alu zile dawa mseto za marelia na panado nkanywa 4 usku ile asubh nkanywa saa kumi na mbil v4 tena nkarud kulala kuja kuamka saa mbil nkasahau kama nlkunywa nkavuta vingne 4 nkameza ndan ya nusu saaa nkaanza kuona kama mambo hayako sawa kizungu zungu...
  10. Mbeba Lawama

    Nina kituo Cha mafuta ila Sina pesa ya kununulia mafuta, nifanyaje?

    bas apo chief huitaj msada wa kuendeleza iko ktuo
  11. Mbeba Lawama

    Nina kituo Cha mafuta ila Sina pesa ya kununulia mafuta, nifanyaje?

    nenda Kwenye makampun ya mafuta husika wanaweza ingia ubia na ww wakaweka logo zao ukala percent kwenye kila lita wao ndio wakaendesha kituo
  12. Mbeba Lawama

    DOKEZO Nazungushwa kupata Mafao baada ya Mkataba wa kazi kumalizika, naambiwa niliacha kazi

    ngoja nkusaidie mbinu za kivita mzee mwenzangu ila nijibu kwanza hili.. Umefanya kaz kwa muda gan na je ushaenda Nssf kufatilia na kujua unadai shngap nikiwa na maana kwamba minchango yako yote ipo?? kama ipo tafuta mtu mwenye kampun hta ya ulinzi au mwenye shel inayowapa watu wake nssf kisha...
Back
Top Bottom