Recent content by Mbeba Lawama

  1. Mbeba Lawama

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kutojitoa sana kwa watu ni siri ya mafanikio?

    Kuna mmoja nlkuta msg yake kwa ndugu kua yeye atamaliza ujenz kuptia flan mana anajfanya mwema sana
  2. Mbeba Lawama

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Picha ya anayedaiwa raia wa Afrika Kusini akichoma mahindi baada ya kuwafukuza wageni

    sasa kuchoma mahind nakwenyew kunahitaji bachela degree kwel
  3. Mbeba Lawama

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Kigezo cha cheti cha Darasa la 7 ajira ya TAKUKURU kiangaliwe vizuri

    iv izo ndio zile nafasi zilizotoka juz kati watu wakatuma kwa posta pia??
  4. Mbeba Lawama

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wa njia bora ya kuendesha Microfinance

    hii systm naitumia iko poa sana
  5. Mbeba Lawama

    JamiiForums Tanzania Natafuta Gari used Missubish Rosa au Nissan Civilian kwa ajiri ya biashara ya daladala

    katika biashara hii ya usafirishaji hasa kwa biginer kama ww hayo machaguo uliochagua sio sahii kabisa Rosa spea zake ni ghali sana pamoja na civilian sio gari imara na likishaanza kuchoka kufufua inakua kipengele sana Ndio mana unaweza kuta nissan cvilian namba E ml 18 ila vpengele vyake...
  6. Mbeba Lawama

    JamiiForums Tanzania Mwili wa James Temba, aliyepotea umeokotwa mto Msimbazi ukiwa hauna kichwa

    kuna loop hole kubwa sana la mauaji kwa sasa watu wanavisasi sana vijana tue makini na dhuluma zetu mtu unamzika lets say 35 ml kwa kujiona mjanja tu watu watakufyeka kwakua upepo saiv n dola ndio inachomoa watu wahuni wanaishi nao umo umo, kingine tuache kula vya watu kwanzia pesa mpka wake za watu
  7. Mbeba Lawama

    JamiiForums Tanzania Kama unafanya kazi chini ya Tamisemi (Halmashauri), sema neno lolote kwenye uzi huu

    wana hali mbya kulko wananchi WA somalia
  8. Mbeba Lawama

    JamiiForums Tanzania Tangia nimeacha kula ugali fikra zangu zimekuwa SHARP!

    bora uendelee kula uo ugal mana unaelekea kwenye kwashakoo
  9. Mbeba Lawama

    JamiiForums Tanzania Hivi ina maana wachawi hawapo kabisa JF?

    Tupo unataka tukusaidie nn
  10. Mbeba Lawama

    JamiiForums Tanzania Imewezekanaje Harbinder Sethi kushiriki siasa za CCM huku akiwa ni raia wa Kenya?

    ukusikia raia wa china wenye kampun ya uchimbaj madin wamechangia pia??
  11. Mbeba Lawama

    JamiiForums Tanzania Mawakili wa Lissu kuweni macho sana, kuna mashahidi wa UONGO wamepangwa, soma hukumu hii mjiridhishe

    kuna sehm nlsoma kua lisu atakutwa na hatia atafungwa kisha mamtu atakuja kumwachia kwa msamaha
  12. Mbeba Lawama

    JamiiForums Tanzania Msaada Bei ya Tank la Maji la Kiboko (2000L au zaidi) kwa aliyewahi kununua tafadhali

    m nlfata langu kiwandan lita 3000 kwa lak 5 na point
  13. Mbeba Lawama

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki Lawapa Mahala Pa Kuabudia Waumini wa Gwajima

    catholic the father of all nation
  14. Mbeba Lawama

    JamiiForums Tanzania Mtaani kwako unafahamika kwa jina gani?

    awanielew somtme napoteaa saa tatu usku wakat mwngne saa kum usku na kurud sku wazizo ztarajia wanashangaa ty natokea getin
  15. Mbeba Lawama

    JamiiForums Tanzania Mtaani kwako unafahamika kwa jina gani?

    transpoter
Back
Top Bottom