Recent content by mbavumbishi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Majuto ya Chid Benz

    Tiba kiaje embu tupeane maarifa wakuu??
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu naomba unielekeze namna ya kuweka booking code
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Database linafukunyuliwa uko jobless wengi watalamba ajira sehemu nono kuna vibari vingi vya ajira
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kada nzuri sana izo mkuu, wakati wa Mungu ni wakati sahihi utatusua tu
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kweli kabisa Mkuu, seketarieti analaumiwa bure, watu hawajui budget zinavyosumbua…kuna jamaa angu jina lilitoka march 2022 akaanza kazi august yake
  6. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini ukiwa haufanyi uzinzi na kujichua unakuwa na nuru sana na madili yanatiki kirahisi?

    Dhambi zote ni mbaya mkuu, alafu kutafuta ela ni kanuni tu km kusoma darasani kama una akili na unasoma utafauru tu whether unafanya dhambi au hufanyi? Kanuni za dunia zipogo tu km ukiwa una sali au husali ukijitupa juu ya ghorofa force of gravity lazima ikuvute chini uanguke, ukila chakula ovyo...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini ukiwa haufanyi uzinzi na kujichua unakuwa na nuru sana na madili yanatiki kirahisi?

    Na mondplatnumz jini linakula sana mademu lakini liko vizuri benki
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hongera mkuu wa kupita oral, izo nafasi zimekaa kimichongo sana ata written majibu hawakutoa umepata marks ngap na wametuma kwa text message na wamesimamia wenyewe…yani taasisi kufanya saili wenyewe ni bonge la utapeli
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kozi ya bachelor of science in mathematics and statistics inahusiana na nini pia inatoa fursa gani ukisoma?

    Kingine cha kuongezea statistics ina weza ku apply kwenye field nying sana km za biology, engineering, bussines, agriculture en so on…so utakuta kuna sehemu kuna masters ya biostatistics, so apo kwenye bussines stat is tics utasoma statistics ambayo inaweza kuapply ata kwny biology o any other...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kozi ya bachelor of science in mathematics and statistics inahusiana na nini pia inatoa fursa gani ukisoma?

    Hii cozi nazani itakua mpya apa bongo, obviously itakua nzuri tu mana utakua na uwanja wa kuapply kazi za statistics, uchumi na biashara of which itakua nzuri sana kwako kuliko math en statistics ambayo mm nimesoma kwenye soko la ajira mimi nlikua natafuta kazi za statistics tupu ila nimepata...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Sababu zifuatazo zinaweza kumfanya mteja avuliwe ufalme

    Mkuu kwenye biashara uki torture watu sana wakapata mpinzani utapata anguko baya sana in a longrun, nakupa mfano dodoma kuna bar moja inaitwa bambaraga huyu jamaa kipindi anatamba enzi izo ukienda bodaboda walinzi wanakataza usiingie wanakufukuza. akati ww unaenda kutumia ela mle sasa badae...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Sababu zifuatazo zinaweza kumfanya mteja avuliwe ufalme

    Mkuu ulikutana na wezi pole sana…ila nakwambia chunga sana attitude yako dhidi ya wateja, wao ndo wana iyo ela unayoitaka na kumbuka iyo bussines sio kwamba unayo peke yako Tz nzima kuna vitu vidg vidg sana vitakutofautisha na competitors wako…mimi ni mfanyabiashara ni nimefanya kazi kwenye...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Sababu zifuatazo zinaweza kumfanya mteja avuliwe ufalme

    So mkuu izo ulizoandika alo juu ndo sheria unazotambia kwamba mtu hakudharau..poa fanya ivi biashara ni huria weka bango tu kwenye biashara yako kuanzia point ya kwanza kwamba rule #1. Nikikutajia bei si ruhusa kuomba bagenii #.2 ukiulizia kitu lazima ununue #.3 ukijaribu lazima ununue #4. Si...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Sababu zifuatazo zinaweza kumfanya mteja avuliwe ufalme

    Mteja anapouliza bei alafu hajanunua haimaanishi sio mteja wako…wafanya biashara waliofanikiwa moja ya njia wabayotumia ni hiyo mteja anayekuja anahakikisha anamuhudumia vizuri na kunpa customer care yote ili arudi siku nyingine kununua iyo bidhaa kwenye duka lake
  15. M

    JamiiForums Tanzania Sababu zifuatazo zinaweza kumfanya mteja avuliwe ufalme

    Uko sahihi mkuu, mteja ni mfalme ata aweje! Wewe unahitaji ela yake ndo maana uko pale, ndo mana wakenya wanatushinda sana unakuta unafika dukan muuza duka anakwambia mimi ndo nafunga duka, ataki kutoa huduma mpk kesho anakwambia nawai nyumbani fu*** umekaa siku nzima kusubiri ela pale ukitafuta...
Back
Top Bottom