Kiu kweli kweli! Hasira sana! Kwa miaka mingi iliyopita wengi wetu tumekuwa tunaonyesha kiu kubwa ya kuona mabadiliko ya msingi nchini. Hasa baada ya kuondoka Mwalimu Nyerere madarakani, tulipitia vipindi ambavyo mamlaka zilizofuatia zikaonekana kutoweza kuhimili usmamiaji wa misingi muhimu kama...
Mkuu,
Ni jazba? Hoja yako ni ya msingi, hasa unapouliza "je Mwenge bado ni kipaumbele kwa taifa"?
Kwa hiyo kuna vipaumbele vya kitaifa ambavyo hatutaacha kuvisimamia. Lakini kama ni kipaumbele kwa Chama ni vema kikashauriwa kuangalia mambo yenye kukiongezea umaarufu chama kama vile kasi mpya...
Una utafsirije Udikteta? Kuwasimamisha watu kazi? Kuwalazimisha kulipia kodi bidhaa zinazoingizwa holela?
Labda tuseme anachofanya ni kuirudisha nchi kwenye mstari wa kufuata taraibu na sheria, pamoja na kuondoa uzembe uliokithiri
M/habari huru
Heshima kwako. Naomba ufafanuzi wa mambo 2. Kwanza je kwenye mkutano huo wakazi wa Babati walitoa malalamiko juu ya Mkurugenzi huyo? Pili, kama Raisi alitoa tamko la kumwajibisha Mkurugenzi slitumia kigezo hicho cha kesi ya Uvinza tuu?
M/habari huru
Heshima kwako. Naomba ufafanuzi wa mambo 2. Kwanza je kwenye mkutano huo wakazi wa Babati walitoa malalamiko juu ya Mkurugenzi huyo? Pili, kama Raisi alitoa tamko la kumwajibisha Mkurugenzi slitumia kigezo hicho cha kesi ya Uvinza tuu?
Sidhani kama Mkuu wa Zimamoto yumo kwenye core national security posts. Kama hakuna azma ya kumrudisha Polisi tens, hapo ndio wanamsogeza pembeni asiwemo kwenye sehemu nyeti
Na hili linafanywa kwa malengo mahsusi
Ahaa! Kwa hiyo tuelewe yapo madudu mengine nyuma ya pazia ambayo hayakuwekwa wazi? Nadhani ni vema yakaelezwa ilikujenga hoja za nguvu dhidi ya wahusika wote!
Kweli kabisa na ndicho kinachozitesa nchi kama Tz ...majority ya ruling party haitakubali kuunga mkono hoja za upinzani haswa kwenye maslahi ya chama chao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.