Tatizo tunataka kufanya mambo kwa haraka(SHORT CUT).
Wenzetu Kenya imewachukua Miaka 11, kukamilisha katiba yao .
Tusipojihadhari na kushabikia tu tutapewa katiba mbovu kabisa.
Nasikia Liverpool wamenyan'ganywa Point 3 baada mancity kukata rufaa sababu wamefingwa KIMAZABE!!!!!@Maprosoo .
Kumbuka kaka kutesa kwa Zamu na sasa ni zamu yetu sisi...YWNA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.