ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,248
- 1,745
mechi ya kwanza ya Chelsea Vs Liverpool msimu huu iliishaje?
swali zuri.
mechi ya kwanza ya Chelsea Vs Liverpool msimu huu iliishaje?
mechi ya kwanza ya Chelsea Vs Liverpool msimu huu iliishaje?
mechi ya kwanza ya Chelsea Vs Liverpool msimu huu iliishaje?
Kalou kumbuka mechi hiyo 2-1 bila Sturrigde tena kwa mbinde ikiwa ni pamoja na kunyimwa penati ya wazi ya Eto'o
Liver ni mabingwa wapya wa EPL!Chelsea nani wa kufunga?Ba au Etoo nabuzee wao ule?
Man City alirudi sababu ya ukali wa foward yao!Chelsea akifungwa hata bao 1 dakika ya 2 hawezi rudisha!
Au mechi ya kwanza ya Man City Vs Liverpool msimu huu iliishaje? Ukishapata jibu ujiulize mechi ya pili pale Anfield iliishaje? Ukishapata jibu uniambie tathmini yako kitatokea nini mechi ya pili ya liver vs chelsick pale Anfield...
Nasikia Liverpool wamenyan'ganywa Point 3 baada mancity kukata rufaa sababu wamefingwa KIMAZABE!!!!!@Maprosoo .
Kumbuka kaka kutesa kwa Zamu na sasa ni zamu yetu sisi...YWNA
Kalou kumbuka mechi hiyo 2-1 bila Sturrigde tena kwa mbinde ikiwa ni pamoja na kunyimwa penati ya wazi ya Eto'o
mkifungwa mmenyimwa penati?
Kuweni na huruma penati zote mnazopewa kila siku?
hakuna timu imepewa penati nyingi bure bure kama LIVEPOOL msimu huu.
NGUVU UNAYOTUMIA KUBISHANA HAPA NDO NGUVU NITAKAYOTUMIA KUKUSUMBUA BAADA AY KUKUCHAPA TAREHE 27;
waulize wafuatao:
Sizinga(arsenal fc)
RRONDO(psg)
ndetichia(man city)
Mndengereko(man utd)
wewe ongea utakavyo..subiri tarehe 27. utakimbia jukwaa hili.
SIMBA WA BLUE..yuko nyuma yako KIMYA KIMYA.
Nasikia Liverpool wamenyan'ganywa Point 3 baada mancity kukata rufaa sababu wamefingwa KIMAZABE!!!!!@Maprosoo .
Kumbuka kaka kutesa kwa Zamu na sasa ni zamu yetu sisi...YWNA
Au mechi ya kwanza ya Man City Vs Liverpool msimu huu iliishaje? Ukishapata jibu ujiulize mechi ya pili pale Anfield iliishaje? Ukishapata jibu uniambie tathmini yako kitatokea nini mechi ya pili ya liver vs chelsick pale Anfield...
Kwa hiyo hizo akili hazikuwepo Villa Park, hazikuwepo kwa vijana wa Tony Pulis? Kwa style ya BR ya sasa Chelsea ni timu inayofungika kirahisi zaidi kwa kuwa haina washambuliaji hivyo beki ya Liverpool itakula Bata Tu kusaidia mashambulizi. Hata City kabla kuvuliwa Chu.pi walikuwa na mihemko kama yenu kabla ya mechi.