Mtoa hoja, umeongea kiunazi zaidi. Tambua kwamba hu ni wakati wa kampeni, na kinachongelewa zaidi ni sera za vyama husika pamoja na wagombea wao.
Isitishe hao unaosema ni miongoni mwa wagombea wa nafasi za ubunge, so hata muda wa kuwa na siasa za kuvuta kwa sasa haupo.
Huoni hata chama chetu...
Tatizo la prof. Lipumba, alidhani kuondoka kwake, ngome ya upinzani itayumba, kumbe siyo. Kwanini Lipumba ameingiwa kwenye kundi la wanasiasa vibaraka? Kama aliona mh. Lowassa hafai, alishindwaje kujenga hoja tangu awali kwenye vikao vyao vya ukawa? Prof. Lipumba ukubali ama ukatae...
Sasa wewe ndugu yangu unayejiita cleverbright, unathubutuje tukukana watu wa mkoa mzima kuwa wanapenda umbeya? Ina maana huyo magufuri uliyekwisha kumwandaa kuwa rais, atakuwa rais wako mwenyewe? Ccm umesema ni chama kitakatifu tanzania, africa na duniani kwa ujumla, je kwenye hiyo ccm hakuna...
Pole pole sijui amekuwaje siku hizi, mbona amekuwa sio yule aliyekuwa kwenye tume ya mzee Warioba? Au hekima za mzee Warioba zilimfunika tusijue tabia yake? Hivi ni kweli Lowassa ni mchafu kushinda watu walioko ndani ya ccm kweli? Kama kweli Lowassa anatoa rushwa, mbona hakuna mtu hata mmoja...
Haya sasa ni mafuriko. Ila nawasihi watanzania wenzangu wote wapenda mabadiliko kama mimi, tuwe makini kuepusha jaziba, ccm wana ghiliba nyingi. Mwaka huu lazima waisome namba, tumewachoka sana ccm na viongozi wao makanjanja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.