Kitu chochote ukiwekeza nguvu na akili katika jambo hilo...! Baadae inakua rahisi mno kulifanikisha na ndo litakua linatokea kwenye maisha yako mara kwa mara....! Huyo rafiki yako aliwekeza nguvu na akili kwa wanawake toka zamani, mpaka sasa imekua tabia. Hivyo anawapata bila kutumia nguvu
Nikikumbuka pambano kati ya joe Frazier na big foreman, wote wakiwa kwenye ubora wao Frazier alipigwa kama mtoto, lilikua pambano rahisi sana kwa foreman. Wakati huo Joe alikua ametoka kumchapa Mohamed ali. Watu wakadhani foreman akikutana na ali anaenda kuua round ya 2, lakini mambo yakawa...
Nenda hospital wakucheki inawezekana hormone zako za kiume(testosterone) ziko chini mno.....! Maana hujawahi kupiga punyeto hiyo ina maana una low sex libido, tatizo litakua hormone nenda hospital una tatizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.