Recent content by Mbacho_

  1. Mbacho_

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Greenwood mtu na nusu Mwanangu. Ana bomba zake za uhakka sio kama Anthony. Greenwood ndo mchezaji pekee ambaye sasa hivi angetusaidia. Rashford anashuka kama Martial alivyoshuka. Misimu miwili mbele Rashford anakua hewa. Hatuna wachezaji wenye consistency misim mitatu hadi minne kwenye...
  2. Mbacho_

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Liverpool kapigwa kamba ya pili hapa [emoji23][emoji23]
  3. Mbacho_

    Ole Milya amlipua Mnyeti, asema kuna genge la wahuni lilikuwa likimshauri Hayati Dkt. Magufuli vibaya

    So far Ile miaka waliotaka kumuongezea JPM wampe Madam😅
  4. Mbacho_

    Pale Bungeni simuoni Mbunge wa kuichambua ripoti ya CAG baada ya kukosekana Zitto Kabwe na wabunge wa CHADEMA

    Kuna haja ya ku-revise vigezo vya kuwa mbunge. Vilivyopo havijitoshelezi Mfano: Sasa hivi TAMISEMI kuna ubadhilifu wa Fedha za Uma, ATCL inakula hasara 5 Years consecutively, TPA kuna uchafu, Rushwa imetamalaki then CAG anapeleka report bungeni kujadiliwa na mtu alieishia darasa la 7...
  5. Mbacho_

    Pale Bungeni simuoni Mbunge wa kuichambua ripoti ya CAG baada ya kukosekana Zitto Kabwe na wabunge wa CHADEMA

    Alaf Mbona Babu Tale anakua mfano kwenye mambo mengi ya msingi yahusuyo bunge?😂😂😂 Kama jimboni kwake wapo watu wa design yake mlitakaje?😂😂😂 Anyway This time anaweza toa hoja moja amazing na hamtaamin masikioni mwenu😂😂😂
  6. Mbacho_

    Waziri Jafo akunjua Makucha, aahidi kupeleka kwa Rais majina ya Wakurugenzi 8 waliopata hati chafu za CAG ili wawajibishwe

    Wakurugenzi hawahawa si ndo wa kipindi kile cha uchaguzi😰 Mbona waliwapa support nzuri tuu. Leo imekuwaje???😰😰😰 Dah! Never Trust Anyone Dunia hii asee Ila ni sawa tuu😂😂😂
  7. Mbacho_

    Tundu Lissu: Legacy ya hayati Magufuli imeanza kusambaratika,uchunguzi usiishie TPA na ATCL

    Bad enough kuna watu walitaka kumpa nchi milele😬😬😬
  8. Mbacho_

    Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

    Rushwa ina madhara popote, inategemea inatolewa katika mazingira gani. Let’s say Rushwa inatolewa au inapokelewa ili tu asiye na vigezo kupata kazi fulani anatoa rushwa ili tu apate ile kazi, madhara yake ni makubwa mbeleni unless awe na uwezo mkubwa sana wa kazi regardless kukosa vigezo. Balaa...
  9. Mbacho_

    Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

    Kwanza rushwa ya ngono sio kwenye sekta ya Elimu tu. It’s almost kila mahali, kuna wakati nilisikia madaktari nao wanaipenda. Makazini huko watu wanapeana kila siku alafu unamwambia madam tunapambana na rushwa ya ngono😂😂😂 mwenyewe kaona hamna mantiki hapo. Hii rushwa ni ngumu kuzuia. Kwa sababu...
  10. Mbacho_

    Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

    Kisu kinapenya mfupani polepolee😊
  11. Mbacho_

    Huwa unasolve vipi hii tabia ya wapangaji wenzako?

    Kwanza huo ni ushamba, kuna siku nimewah kuzima main switch (kwa wahenga zile main switch za zaman mtakua mnazipata. Zile za kuchomoa). Kam ni usiku nachomoa alf nalala, kama ni mchana nachomoa alaf naondoka Badae wale majamaa wakachoka ile tabia ya umeme kukatik hovyo wakaondoka. Siku hizi...
Back
Top Bottom