mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,665
- 37,212
Majizi na mafisadi ya awamu ya hapa kazi tu yameanza kutajana. Hovyo kabisa utawala wa awamu ya 5.
Wote tumshukuru Mungu kwa mambo makuu aliyotufanyia. Sote tuseme Ameen
hapa kazi tu,majungu mama hafagilii.