utasikia baby nikija kwako niandalie hela ya salon,
ke wenye tabia hizo badilike, mi nikitoa sh 5 ujue kabisa na wewe namna ya kuizalisha siyo kutumia tu
Mkuu utaliwa kekundu, kama umesoma kwa makini huo ujumbe, huyu tapeli umesema anatoka Liberia lakin soma alivyo andika: I want a guardian outside senegal where I can transfer this fund. :iamwithstupid:
Pole sana kaka yangu. Kwanza kabisa kama ulivyosema mwenyewe kuwa huyo binti ilikuwa tamaa tu na ni hakika kuwa hujawahi kumpenda.
Sasa kwa ushauri mzuri tu ili uuthibitishie moyo wako kuwa wewe ni real gent..weka kikao na huyo binti kisha mueleze ukweli then akidai kuwa kwanini ulimdanganya...
habari zenu wana MMU
Najuta kusema uongo na tamaa yangu ya mapenzi, mimi ni kijana wa kiume sijaoa nafanya kazi na kampuni fulani hapa rocky city. Mwezi januari nilihama sehemu niliyokuwa nimepanga nikapata chumba sehemu nyingine.
Nilipohamia mama mwenye nyumba anaishi na mdogo wake wa...
wewe jamaa uliyepost huu uzi ni jinsi gani una mawazo mgando, nakufananisha na mtoto wa sekondari kitado cha pili anayesoma ili ashike namba 1 darasani. je katika utafiti wako wa kukaa chumbani na kutoa majibu ya kwamba vyuo vya private ni wabovu ulikusanya taarifa kutoka vyuo vingapi vya govt...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.