Ajira za uhamiaji

Ajira za uhamiaji

1.Mimi najiamini sana.
Relax mkuu, maana wengine hata kuitwa ktk interview kwao huwa sherehe, hivyo kama unajiamini utakuwepo ni hatua nzuri hivyo kila la kheri. Mwaka jana zilitanganzwa nafasi kama hizi lakini short list ilipotoka wengi hawakuona gazeti hivyo nilijitolea kuwasomea watu zaidi ya 70 kupitia pm na hamna na hata m1 aliyebahatika, sasa nikajiuliza inamaana wale waliopata hata mmoja ambae hakuwemo kati ya waliokosa info ingawa sample ya 70+ ni ndogo.
 
wewe mtoto wa kigogo
wewe una hela
wewe una ndugu wa uhamiaji
kama huna yote haya subili kama utapata kazi

Hata mimi binafsi namuombea apate, ila niliona kuwa kama atakuwa amejihakishia mchujo kabla, hivyo ajue pia kuna changamoto zingine pia hivyo ni vyema angesubiri azivuke kwanza.
 
Relax mkuu, maana wengine hata kuitwa ktk interview kwao huwa sherehe, hivyo kama unajiamini utakuwepo ni hatua nzuri hivyo kila la kheri. Mwaka jana zilitanganzwa nafasi kama hizi lakini short list ilipotoka wengi hawakuona gazeti hivyo nilijitolea kuwasomea watu zaidi ya 70 kupitia pm na

hamna na hata m1 aliyebahatika, sasa nikajiuliza inamaana wale waliopata hata mmoja ambae hakuwemo kati ya waliokosa info ingawa sample ya 70+ ni ndogo.

Mkuu nashukuru kwa kuniweka sawa...tuombe Mungu! Mambo yatakuwa sawa bro!
 
kwa uzoefu wangu wa usaili TPDC wanafanya (written and oral, hence get prepared):welcome:
 
Jamani tusitishane bt anayekuwa anapata habari za uhamiaji tujulishane maana mi mwenyewe hali mbaya
 
kuna anayefahamu taratibu za usahili wao? Wanafanya mtihani? Oral interview? Au inakuwaje?

usaili ni oral, zoezi linaloendelea sasa hivi ni kuzi-register all application. Assistant inspector zimepokelewa application 5000, wameanza kuzi-register juma3 hii ya tarehe 03 march, kilasiku wanaregister application 200, it means it will take 25 days for registering all applications. Kila nafasi moja itashindaniwa na watu 5, maana yake ni kwamba kwa nafasi 70 zitashindaniwa na watu 350. Shortlist tusubirie kwanza mpaka watakapomaliza zoezi la kuziregister kwanza then ndiyo waanze kuangalia nani anakidhi vigezo zaidi ya wenzake.
 
usaili ni oral, zoezi linaloendelea sasa hivi ni kuzi-register all application. Assistant inspector zimepokelewa application 5000, wameanza kuzi-register juma3 hii ya tarehe 03 march, kilasiku wanaregister application 200, it means it will take 25 days for registering all applications. Kila nafasi moja itashindaniwa na watu 5, maana yake ni kwamba kwa nafasi 70 zitashindaniwa na watu 350. Shortlist tusubirie kwanza mpaka watakapomaliza zoezi la kuziregister kwanza then ndiyo waanze kuangalia nani anakidhi vigezo zaidi ya wenzake.

Nashukuru kwa ufafanuzi mzuri!....application received=5000 nafasi zilizopo=70 shortlisted applicants=350,this is unemployment crisis.....hapo itabidi wabadilishe vigezo kama c kuviongeza mkuu
 
usaili ni oral, zoezi linaloendelea sasa hivi ni kuzi-register all application. Assistant inspector zimepokelewa application 5000, wameanza kuzi-register juma3 hii ya tarehe 03 march, kilasiku wanaregister application 200, it means it will take 25 days for registering all applications. Kila nafasi moja itashindaniwa na watu 5, maana yake ni kwamba kwa nafasi 70 zitashindaniwa na watu 350. Shortlist tusubirie kwanza mpaka watakapomaliza zoezi la kuziregister kwanza then ndiyo waanze kuangalia nani anakidhi vigezo zaidi ya wenzake.


Hamna tetesi zozote mpya wakuu?
 
usaili ni oral, zoezi linaloendelea sasa hivi ni kuzi-register all application. Assistant inspector zimepokelewa application 5000, wameanza kuzi-register juma3 hii ya tarehe 03 march, kilasiku wanaregister application 200, it means it will take 25 days for registering all applications. Kila nafasi moja itashindaniwa na watu 5, maana yake ni kwamba kwa nafasi 70 zitashindaniwa na watu 350. Shortlist tusubirie kwanza mpaka watakapomaliza zoezi la kuziregister kwanza then ndiyo waanze kuangalia nani anakidhi vigezo zaidi ya wenzake.

heri ya wewe kidogo inspector umedadavua kidogo kuna watu wengine humu wanaleta uzushi hauna hata logic kisa tu leo ana bundle haina kazi,
huu wa kwako hata kama huwe n uzushi hakika nimeu like:A S thumbs_up:
 
Hamna tetesi zozote mpya wakuu?

coplo una shauku napo sana, kuitwa utaitwa ila usdhani kwa kuwa ni jeshi ukadhani usaili wake ni ubwabwa, milolongo ni mingi sana hadi kufikia chuo cha mafunzo. kwa taarifa za awali tu mtafute askali yeyote then muulize kuhusu ccp baada ya kuchaguliwa dar au popote alipotokea sio mchezo kama unavyoona mitrafiki mibongemibonge
 
Back
Top Bottom