Najuta tamaa mbaya

Najuta tamaa mbaya

Mwambie gegedo lako la sasa kuwa huwezi endelea kuwa kwenye uhusiano naye sababu mpe hiyo ya hayo maongezi na dada yake.Mwambie haya "huna mpango wa kuoa karibuni sababu una mambo inabidi uyatimize hvyo kulingana na maongezi ya dada yake anaonyesha kutaka muwe kwenye mahusino ambayo yana uhakika wa ndoa wakati wewe hupo tayari kwa hilo kwa kipindi cha karibuni"

Wakati huohuo huku kwa huyo anayekuja field (kweli dada zetu wajasiri,hapo kaaga kwao anenda filed Jumbe yupo kwa bf),aanza kutengeneza mazingira ya fitna,mwambie kuwa mdogo wa mama mwenye nyumba a nakutaka na anakusumbua wakati wewe humtaki.Hii itakusaidia gf wako kutoshtuka endapo itatokea dada na mdogo wake watampa umbea pindi atakapokuwa anakaa kwako.
 
Wakati huohuo huku kwa huyo anayekuja field (kweli dada zetu wajasiri,hapo kaaga kwao anenda filed Jumbe yupo kwa bf),

kuna mwingine huwa anatoka SAUT anakuja daslama field kumbe kwa mupenzi

akiondoka huyu kaka anatembea na mama mtu mzima na mmaza kazaa siku si nyingi
mtoto ni wa huyo kaka ila bidada anajua huyo mama ni shangazi wa BF wake NGASOKA....
 
Mwambie gegedo lako la sasa kuwa huwezi endelea kuwa kwenye uhusiano naye sababu mpe hiyo ya hayo maongezi na dada yake.Mwambie haya "huna mpango wa kuoa karibuni sababu una mambo inabidi uyatimize hvyo kulingana na maongezi ya dada yake anaonyesha kutaka muwe kwenye mahusino ambayo yana uhakika wa ndoa wakati wewe hupo tayari kwa hilo kwa kipindi cha karibuni"

Wakati huohuo huku kwa huyo anayekuja field (kweli dada zetu wajasiri,hapo kaaga kwao anenda filed Jumbe yupo kwa bf),aanza kutengeneza mazingira ya fitna,mwambie kuwa mdogo wa mama mwenye nyumba a nakutaka na anakusumbua wakati wewe humtaki.Hii itakusaidia gf wako kutoshtuka endapo itatokea dada na mdogo wake watampa umbea pindi atakapokuwa anakaa kwako.

dah! Ulivyoshuka mkuu! Kuna watu mko full gwanda nimeamini!
 
habari zenu wana MMU
Najuta kusema uongo na tamaa yangu ya mapenzi, mimi ni kijana wa kiume sijaoa nafanya kazi na kampuni fulani hapa rocky city. Mwezi januari nilihama sehemu niliyokuwa nimepanga nikapata chumba sehemu nyingine.
Nilipohamia mama mwenye nyumba anaishi na mdogo wake wa kike akaanza kuwa karibu na mimi sasa kidume nikarusha ndoano binti kakubari kutoa gegedo, baadaye dada mtu kainasa habari kuwa nakula mzigo kwa mdogo wake ikabidi amwambie mdogo wake anipe taarifa kuwa jion nimuone dada yake ana maongezi na mimi.
Maswali niliyokutana nayo katika kile kikao kati yangu na dada wa yule binti ni:
  • mdogo wangu nimemuuliza akasema ukweli kwamba una mahusiano naye, je mpango wako ni upi sasa,unakula mzigo na kuacha au una malengo ya kuoa?
  • Je huna mke au mpenzi mwingine?
majibu niliyompa ni kwamba siwezi kujibu maswali yako haraka na mapema mno.
Lakin kinachonifanya nijute ni kuwa mwezi June 2014 mpenzi wangu anakuja toka Dar kuja kuishi kwangu akiwa anafanya field na siwezi kuhama ile sehemu coz nimelipa kodi ya mwaka mzima na masharti ya mkataba wa pango ni kwamba mpangaji akihama kabla ya muda kuisha hela hairudishwi.
Kuepusha shari kati ya mama mwenye nyumba, mdogo wake(gegedo langu la sasa) na mpenzi wangu wa ukweli Nifanye? USHAURI WAKO NI MUHIMU NA SIYO MATUSI

Manunuzi umefanya mwenyewe, bili inakushinda? au sio.
 
wee utatongozaje mtoto wa mpangaji aisee. ngoja mkeo aje ayakute ndio utapata akili. ni bora ung'wenye mbali kuliko mumo humo.
 
kuna mwingine huwa anatoka SAUT anakuja daslama field kumbe kwa mupenzi

akiondoka huyu kaka anatembea na mama mtu mzima na mmaza kazaa siku si nyingi
mtoto ni wa huyo kaka ila bidada anajua huyo mama ni shangazi wa BF wake NGASOKA....

duh! Kumbe nawe umo kwa kuwa na nyaraka za watu kama warumi
 
Last edited by a moderator:
Baki njia kuu michepuko sio dili umeona madhara ya michepuko.
 
dah! Ulivyoshuka mkuu! Kuna watu mko full gwanda nimeamini!

Hahahahahaa experience makes it perfect.Tumesharudi njia kuu kwahiyo tunabaki kuwa consultants wa hawa wenzetu ambao bado wanahangaika na michepuko
 
Back
Top Bottom