Recent content by Mayimoya

  1. Mayimoya

    Utajiri wa wachungaji Rwakatare, Gwajima, Mwingira na Mzee wa upako na uhalisia wa makanisa yao(Majengo ya kuabudia)

    Ulianza vizuri ila ulivyomalizia inaonesha una nia nyingine iliyojificha. Tafuta wajinga wenzio au Uje Kivingine. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Mayimoya

    Nimethibitisha ni kweli mke wangu kanisaliti

    Relax bro. Kama nae mzungumze akuambie kwann alikusaliti. Usibweteke na kusifiwa 6×6 Hakuna ambae hasifiwi labda hadi mkigombana Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Mayimoya

    Rais Magufuli: Sitasomesha Wanafunzi waliopata ujauzito, siwezi kusomesha Wazazi

    Watasoma shule zingine sio za government.
  4. Mayimoya

    UN yataka mauaji ya Watanzania DRC yachunguzwe

    Taarifa sio sahihi hiyo inapotosha sanaaa.
  5. Mayimoya

    Kubadili majina baada ya kuolewa

    Ni utaratibu tu kama kutoa mahari na muwe kutunza Familia. Ila mwaweza kualikana kama utaona inafafaa wewe ukafanya ya mume na mume afanye yako.
  6. Mayimoya

    Harakati za wenye kutaka uraisi kwa nguvu

    Thax Mkuu kwa uzi. Vipi lakini kuna kaushaidi ku support uzi huu au muhusika ajasema lolote? Ukiwepo tumwagie tujue.
  7. Mayimoya

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Mm sioni tatizo hapo. Ccm hawana mtu mwingine zaidi ya uyo member na kama yupo hakutangaza nia. Lowassa HATUFAI.
  8. Mayimoya

    Msaada: Mkanganyiko kwenye mkataba wangu wa ajira

    Hakuna urazima kujaza mkataba lkn kama vip waulize ili ujue kabla ukapiga kaz kumbe kunawatu wanataka mpunga wako. Elewa kwanza usije kujaza mkataba kama wachezaji soccer wa Bongo Tz.
  9. Mayimoya

    Yajue Makundi 10 Top Ten wa CCM, Ambamo Watatoa Top 5, Top 3 na Hatimaye Mgombea wa CCM!

    Mkuu umejitaidi kupanga hayo makundi lkn nimeona kama haukua free. Imean hisia zako zipo kwa watia nia fulan. Maana kuna ulowapanga mahari sipo kabisaaa.
  10. Mayimoya

    Yanayojiri Bungeni Dodoma leo Tarehe 15 Juni, 2015

    Kweli kaka japo kocha sio ishu kwenye Timu yetu.Ile timu sio ya Ushindi kabisa bora hata alivyotaacha Maximo kuliko sasa. Inatakiwa kujipanga sana ili kuleta ushindani. Sikuangalia game but nilitegemea kipigo zaid ya hicho.
  11. Mayimoya

    Waziri Mkuu, Mizengo Pinda achukua fomu kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Kwamuundo ule wa mahakama ya Kadhi. Kwa Tz hii ItACHELEWA SANAAA
  12. Mayimoya

    Ile naingia tu, jamaa anapiga kofi wowowo la mke wangu, huku wakifurahi

    Piga chini hautakiwi ujiulize mara mbili
Back
Top Bottom