Mpeleke alliance schools mwanza,ni shule ya michezo na wanatimu ya wanafunzi ambayo ipo daraja la kwanza kidogo tu iingie ligi kuu ikafanyiwa figisu figisu na mwamuz kwenye mechi yao ya mwisho na singida united,wakafungwa singida ikaingia ligi kuu....!!!!ni shule nzuri sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.