Maarab
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 415
- 257
Mambo asee..natamani sana kujua the way unavo koleza wino kwa Maandishi vile ukiandika,nielekeze plizzz!! wadau wengine wanaringa utadgan walizaliwa wakiyajua Mambo.Basi usimpotezee. Mkuu unashindwa kua na msimamo kwenye vitu vyepesi namna hiyo, vipi ukiingia kwenye ndoa si ndio wife atakukalia kichwani kabisa. Kua MWANAUME