Recent content by mawenge

  1. M

    Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

    Natumia Samsung J4 nikitaka kuinstall hiyo GCAM settings inanambia t'here was a problem while parsing the package'.Naomba msaada
  2. M

    JINSI YA KUONDOA ADS KWENYE SIMU

    Hii Adclear inasema haiwezi ondoa ads kwa 100%
  3. M

    JINSI YA KUONDOA ADS KWENYE SIMU

    Sijaroot kiongozi ngoja nijaribu hiyo option
  4. M

    JINSI YA KUONDOA ADS KWENYE SIMU

    Wadau simu yangu inanisumbua, inaleta matangazo mengi mpaka inanifanya niichukie simu. Nimejaribu vitu kadhaa nimeshindwa kuyaondoa. Naombeni msaada tafadhali.
  5. M

    Mnao penda Horror movies

  6. M

    YANGA YAPIGWA FAINI NA CAF

    Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), limeipiga faini ya dola 5,000 Klabu ya Young African kwa kosa la kuchelewesha mchezo baada ya wachezaji wake kumzonga mwamuzi wakati mchezo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho dhidi ya GD Sagrada Esperanca uliofanyika Angola Mei...
  7. M

    Moise Katumbi Sasa Autaka Uraisi

    Nasikia Kaka yake si alikimbia Congo akabaki yeye. Naona na yeye anataka kuleta fyoko fyoko
  8. M

    MSAADA:NAHITAJI RECUVA SOFTWARE

    Ahsante sana mkuu. Mungu akubariki.
  9. M

    MSAADA:NAHITAJI RECUVA SOFTWARE

    Salam wakuu. Nahitaji mwenye link ya hiyo software anisaidie ili niwe narudisha file nilizofuta kwenye pc.
  10. M

    MSAADA:NAHITAJI RECUVA SOFTWARE

    Salam wakuu. Nahitaji mwenye link ya hiyo software anisaidie ili niwe narudisha file nilizofuta kwenye pc.
  11. M

    Hii ni sodoma na gomola

    Ilikuwa inaitwa Sugaray kabla ya mmiliki wa Kisuma kuwekeza
  12. M

    Rais Magufuli akutana na wafanyabiashara, atoa siku 7 kwa waliokwepa kodi kujisalimisha na kulipa

    Ndio maana Wakati ule wa sekeseke la kumfukuza Amani Karume CCM akasema ikulu ipo katika kiwanja Chao na wana hati.
  13. M

    Uchumi Supermarket wafunga biashara Tanzania na Uganda

    Nadhani walitaka kukua kabla ya umri!.
Back
Top Bottom