Recent content by Mavirigiza

  1. M

    Kitisho kikubwa: Kariakoo kuna wachawi kuliko popote

    Mbona hadithi yenyewe km ya kufikirika? Kwanin uyo Dada asingemshtak police uyo Jamaa aliyemfata na kumdai mkoba
  2. M

    Wema Sepetu kugombea Ubunge viti maalum Singida

    Kila mtu sasa anautaka ubunge kwasababu ya maslahi binafs, for real wema hawez kuwa kiongoz kwa level hiyo ye na aendelee kuigiza na kugombania mabwana na kajala tu! Ila K haiongop inaweza kumpa ubunge akiigawa kwa vibopa kama kawaida yake
  3. M

    A 40 years old commits suicide over HIV/AIDS

    Sasa kuna haja gani ya kumshtaki dereva wakati mtu kajitakia mwenyewe kifo..
  4. M

    Afrika Kusini yawafukuza Wahamiaji haramu 400 wa Msumbiji

    As long as walikua wanaishi kweny nchi ya watu illegally, acha wasepeshwe tofauti na cc wabongo tunavyowashobokea maforeigners..
  5. M

    Kituko: Waziri Mkuu Luxembourg afunga ndoa ya jinsia moja

    Kumbe na wew ndo walewale members Wa cameroun eeh? Pole xana..
  6. M

    Kituko: Waziri Mkuu Luxembourg afunga ndoa ya jinsia moja

    Duh! Hata mzee Ban Ki Moon nae anasapot huu uvundo nasikia, cjui na yeye wanampumulia! Yan ni shida tupu afu ukiwauliza wanasema ni 'Human rights'
  7. M

    Makadirio ya Gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu 3

    For real maelezo yko ni finyu kiasi cha mtu kushindwa kukupa exactly cost ya huo mjengo wako labda ungesema mahali ulipo, finishing ya hiyo nyumba na ufafanuz zaidi, lakn kwa ujumla km unataka iwe bora na ya kuvutia km materials yanapatkana kirahc andaa at least 25ml ila ya kawaida tu hata 12ml...
  8. M

    Nimeanza tena kuvuta bangi

    Mambo yenu ya kutoa moshi hewani km tren, hahahaaa!
Back
Top Bottom