Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,762
- 4,576
Habarini wakuu, naomba kama kuna mwenye uzoefu anipe makadirio ya gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba vi 3 (chumba kimoja self na viwili vya kawaida), sitting, dinning, jiko, (choo na bafu public).
Nataka kutumia matofali ya kuchoma ambapo tofali moja linauzwa sh 120.
Msingi utatumia matofali ya block.
Heshima kwenu.
Nataka kutumia matofali ya kuchoma ambapo tofali moja linauzwa sh 120.
Msingi utatumia matofali ya block.
Heshima kwenu.