Makadirio ya Gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu 3

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2010
4,762
4,576
Habarini wakuu, naomba kama kuna mwenye uzoefu anipe makadirio ya gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba vi 3 (chumba kimoja self na viwili vya kawaida), sitting, dinning, jiko, (choo na bafu public).

Nataka kutumia matofali ya kuchoma ambapo tofali moja linauzwa sh 120.

Msingi utatumia matofali ya block.

Heshima kwenu.
 
Natumai humu ndani tuna WAKADILIA MAJENZI (QUANTITY SURVEYOR) sisi wengine ni WAPIMA/WATAALAMU WA SPATIAL DATA (GEOINFORMATICIAN)
Hao wakadilia majenzi ndo wataalam wa fani hiyo. Pamoja na hilo naomba nikupongeze sana kwa hatua unayoanza kuichukua. MUNGU akubariki akusimamie uweze kukamilisha kazi yako.
Pia kama utaitaji mtu maalumu wa kukufanyia kazi kwa bei nafuu naweza kukuunganisha unaweza nicheki UPENUNI
 
For real maelezo yko ni finyu kiasi cha mtu kushindwa kukupa exactly cost ya huo mjengo wako labda ungesema mahali ulipo, finishing ya hiyo nyumba na ufafanuz zaidi, lakn kwa ujumla km unataka iwe bora na ya kuvutia km materials yanapatkana kirahc andaa at least 25ml ila ya kawaida tu hata 12ml inatosha (Provided kiwanja unacho maana kinaweza kuwa ghari kushinda gharama za ujenzi!!)
 
Good quality morden house,
The rate of construction per square metre will range up 750,000tshs.

Normal quality inaweza kuja mpaka 450000 au 500000tshs....
 
Back
Top Bottom