Hello Wana JF, naomba kuuliza kwa nini hizi bei za mitishamba bei zake ni kuanzia 150,000 kuendelea ? Kule Facebook ukiingia huko utakuta kuna matangazo mengi sana kuhusu dawa za kienyeji na bei zake zinatisha wakuu , nilichojifunza watoa dawa wengi wa dawa za kienyeji ni matapeli wa kutupwa ...
Hizi dawa za mitishamba ni hatari balaa , hazina vipimo zinaua FIGO zetu, kuweni makini sana , Leo ndio Nimetoka hospital baada ya kunywa dawa mitishamba na kuanza kuarisha kwa siku 1 ,kama sio kuwahi hospital parambanda ungekuta imeshalia , nilitundikiwa drip 5 na dawa za kufunga kuharisha...
Hamna gani ya Kisukari mkuu, iwe ya kienyeji au za hospitals,mbaya zaidi ni za kienyeji zinaharibu FIGO zetu , usikae unywe mitishamba ni sumu kabisa , zinauwa FIGO mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.