Recent content by Mavere

  1. Mavere

    Franco Mtui apooza mwili mzima

    Huyu naona anashangilia... shame on you!!!! we mwenzako amelazwa, yu mahututi, unatuletea habari za ndani za maisha yake.... itusaidie nini sisi??? Kila mtu ana shida zake hata wewe una zako..... so acha unafiki, fanya kazi!! Bora hata yeye alithubutu ku invest... wewe kazi kupika majungu!
  2. Mavere

    IPP Media website wamechoka kazi?

    Kwa kweli IPP wanaboa, na nipo tempeted kusema kwamba tatizo la tovuti yao ni deliberately, maana haiwezekani karibu mwezi mzima wasigundue tatizo. Na kama lengo leongo ni ku wa discourage watu wasisome magazeti yao mtandaoni, ni vema basi wakaiondoa kabisa. Otherwise to me, mbali na kusoma...
  3. Mavere

    Luxury Cars stolen from UK: SFO in action

    Let him enjoy the taste of stealing people's vehicle!
  4. Mavere

    You must be kidding me! - 21.9Millions USD?

    Heri masikini fukara kuliko tajiri mtumwa. Hatuwezi ishi kwa kutgemea misaada milele. we must change!!!
  5. Mavere

    CRDB Visa Card: Utata wa matumizi yake mtandaoni

    Mimi ni mteja wa CRDB huu ni mwaka wa tatu, muda mwingi sana nimekuwa nje ya nje, ila katika vipindi vyote ambavyo nimekaa Tz, hakuna siku hata moja ambayo card yangu ya visa ya CRDB imefanya kazi. Kila nikienda bank aidha niambiwe card imekosewa nipewe nyingine. Nikapewa nyingine, tatizo likawa...
Back
Top Bottom