IPP Media website wamechoka kazi?

Granted IPPMedia ni wachovu, lakini mimi nafikiri hapa inawezekana kabisa kwamba kuna zaidi ya uchovu.Inawezekana wanaona effects za watu kusoma magazeti mtandaoni katika kupungua mauzo ya magazeti yao na wanafanya makusudi kutoweka habari hizi.

Ingekuwa vizuri kama wangewajulisha watu kwamba "tutaweka baadhi ya makala na ripoti tu, nyingine zitapatikana katika print version" kuliko kuacha watu wategemee kupata habari zote halafu wakakuta "Page Not Found" au upuuzi mwingine kama huo.

Very unprofessional.


Nami nadhani wanatumia ujinga huo kwamba wasipoweka habari mtandaoni basi tutanunua, haya ni mawazo ya watu walioishiwa uwezo wa ubunifu kibiashara. Mimi kama nipo Japan jamani hilo gazeti ntalinunua vipi?? Hii ni kuninyima haki ya habari!!
Mara zote kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza!! Kama hawataacha U-CCM bado magazeti yao yatadoda tu!!
 
Kuhusu sula kla IPP MEDIA naunga mkono vilio vya wanakijiji wote waliochangia ila naomba kuongeza jambo na samahani kama nitatoka nje ya mada kwa kiasi fulani.
Ni hivi hata wesite ya TANZANIA DAIMA hapa ofisini kwetu tumefungiwa kuifungua ( Wamei-block) baada ya kuonekana kuwa na virus wengi aina ya TROJAN... na wenzetu hao wafikishiwe ujumbe ili wahusika wajaribu kuisafisa ili sisi wasomaji tuweze kuifikia bila kuwakwanza wenye facilities zao ( Waaajiri)
 
Kuhusu sula kla IPP MEDIA naunga mkono vilio vya wanakijiji wote waliochangia ila naomba kuongeza jambo na samahani kama nitatoka nje ya mada kwa kiasi fulani.
Ni hivi hata wesite ya TANZANIA DAIMA hapa ofisini kwetu tumefungiwa kuifungua ( Wamei-block) baada ya kuonekana kuwa na virus wengi aina ya TROJAN... na wenzetu hao wafikishiwe ujumbe ili wahusika wajaribu kuisafisa ili sisi wasomaji tuweze kuifikia bila kuwakwanza wenye facilities zao ( Waaajiri)

Acha kuwa na VIRUS tu lakini nao hawaweki nyuzi mpya labda baada ya siku 2,3 au hata 5!!! Leo ni tarehe 15/04 lakini ukifungua site yao kuna gazeti la tarehe 09/04!!!

Web Master wa tz daima nae awajibike kwa hili.

IPP Media wananishangaza kdg; mtoto wa Mengi anamiliki Infocom Technologies (wamilikiwa darhot wire, darchat n.k) sasa anashindwa nini kumpa hili dili la ku-update nyuzi? au ndio mahesabu ya kichaga kwamba uuzaji utadorora???
 
vichwa vyao vya habari vinakufanya utake kusoma halafu uki click ni matatizo....
wakati umefika wa website nyingine kuweka habari vizuri ili kutoa ushindani.....
ippmedia wanatakiwa wajue ata wasipo weka habari online kuna website kibao zinaweza kuweka habari online.....
inaonekana washafanya uchunguzi na kuona website zingine haziweki habari za kuridhisha kwenye mitandao yao......

je alternative of ippmedia ambayo inaweka habari mbalimbali na zakuridhisha ni ipi?
 
Kuhusu sula kla IPP MEDIA naunga mkono vilio vya wanakijiji wote waliochangia ila naomba kuongeza jambo na samahani kama nitatoka nje ya mada kwa kiasi fulani.
Ni hivi hata wesite ya TANZANIA DAIMA hapa ofisini kwetu tumefungiwa kuifungua ( Wamei-block) baada ya kuonekana kuwa na virus wengi aina ya TROJAN... na wenzetu hao wafikishiwe ujumbe ili wahusika wajaribu kuisafisa ili sisi wasomaji tuweze kuifikia bila kuwakwanza wenye facilities zao ( Waaajiri)

Du ebwanaee kumbeeeee.....
 
Sorry, the page you were looking for could not be found
http://ippmedia.com/ipp/alasiri/2009/04/14/135030.html
Related search results:
Search queryYahoo!Search suggestions:
Use the Escape key to return to the search box. Use the right arrow key to explore related concepts.
alasiri ipp media
Explore related concepts:
Use the Escape key to return to the search box. Use the left arrow key to return to the search suggestions. Use the up and down arrow keys to select concepts related to your query.

Alasiri IPP IPPMedia
Alasiri "IPP Group"
Alasiri IPP "Dar es Salaam"
Alasiri IPP Tanzania
Alasiri IPP Nipashe
Alasiri IPP kwa
Alasiri IPP Kiswahili
Alasiri IPP Television
Alasiri IPP habari
Alasiri IPP Guardian
Alasiri IPP "Swahili language"
Alasiri IPP katika
Alasiri IPP kibaka
Alasiri IPP mengi
Alasiri IPP kipindi
Alasiri IPP "east africa"
Search Assist Settings
Help


NILIFIKIRI HIRI TATIZO NI LANGU PEKE. DUH INA-BORE!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
unajua tatizo si Mengi ila waajiriwa wake hasa wale ambao wanajiita MDs. Nakumbuka kuna wakati MD mmoja aitwaye URASA alimshauri au alishauirana na Mengi kuhusu uboreshaji wa gazeti la Kasheshe, ishu ilipokuja kwetu (watekelezaji) tulimshauri URASA kuhusu hatari ya kufa kwa jarida lile ila kwa kuwa hawana ujasiri wa kushauri mangi basi ngoma ikafa kimya kimya.
hivyo hii ishu ya website ujue kuwa ana ushauri MBAYA amepewa na mangi wenzake (top wengi ni arawa tupu IPP) hivyo hakuna kinachoendelea zaidi ya kuitosa na itakufa kimya kimya
 
Kwa kweli IPP wanaboa, na nipo tempeted kusema kwamba tatizo la tovuti yao ni deliberately, maana haiwezekani karibu mwezi mzima wasigundue tatizo. Na kama lengo leongo ni ku wa discourage watu wasisome magazeti yao mtandaoni, ni vema basi wakaiondoa kabisa. Otherwise to me, mbali na kusoma habari mbalimbali, matumizi ya tovuti ni pamoja na marketing...... Wengine wanao boa ni freemedia, unakuta habari moja inakaa wiki kadhaa.....
 
Ndio maana nilisema badala ya kulalamika na kukandia kwanini tusiwaandikie? It took me less than 30 seconds kuwaelezea hicho and guess what? ...
 
Hata hivyo waache walale kama wameamua kufanya hivyo kinachotakiwa sasa hao waandishi wa the gurdian kama wanaweza kila mmoja afungue blogu yake halafu waunganishe wawe chombo kimoja cha kuwaunganisha naamini watapata mauzo mengi toka google na kampuni zingine kama habari zao zikisomwa sana au kutumika sehemu zingine hiyo inalipa sana pia kuna tovuti nyingi siku hizi pamoja na blogu za habari na taarifa kwahiyo ippmedia sio issue tena

huku tanzania sasa inaonyesha kila mtu kachoka anaamua kile anachotaka yeye na sio kile ambacho jamii inataka -- mfano tovuti kama hiyo ni mali ya jamii nzima , jamii inataka ipashwe habari na kuelimishwa wakati wowote
 
Ndio maana nilisema badala ya kulalamika na kukandia kwanini tusiwaandikie? It took me less than 30 seconds kuwaelezea hicho and guess what? ...

Asante kwa kufikiri, kuamua na kuchukua hatua.
Wengi wetu tu wazuri sana kulalamika and pointing fingers but no actions!.

Now continue from "guess what?... Next?.
 
Ndio maana nilisema badala ya kulalamika na kukandia kwanini tusiwaandikie? It took me less than 30 seconds kuwaelezea hicho and guess what? ...

Naona ippmedia wamerekebisha website yao, ina sura mpya kabisa na habari zote zinafunguka vizuri!....Inatia moyo sana na tunaomba isiwe nguvu ya soda

Ndo 'guess what...' uliyokuwa unazungumza mkuu MM?
 
I have tried to access the ippmedia.com website and I just get the message "The owner has reached bandwidth limit". Any info please??
 
makelele ya JF yanasaidia inaoneka walisoma comments humu ndani ikabidi wabadilishe
angalau unaweza kubadilisha lugha ukitaka which is nice
je mnaiyonaje website yao mpya?
 
Back
Top Bottom