....hata mbuyu ulianza km mchicha...
...mbea haulizwi....
Wasioipenda clouds wana lao jambo... Inalenga wote, wakubwa, wadogo, vijana, wanasiasa/wanadiplomasia, wenye matatizo mbalimbali...
Usipopenda kusikiliza kipindi flani basi utapata tu kunachokufaa kusikiliza...
Clouds fm.....radio ya...