Low Back Spinal Cord
Matibabu bila Upasuaji kwa kutumia DRX9000 SPINAL DECOMPRESSION MACHINE
Je kuna Mtu anafahamu ni clinic gani au Hospital za Tanzaia ipo hii Machine?
Nenda Tanga mjini uliza sehemu inaitwa Kibiboni ni njia ya kwenda Mombasa kwa Mzee Hassan huyu anawatibu watu na wanapona hata waliovunjika Miguu,nyonga,mikono na Tanga nzima wanamjuwa,ili ujue ni mzuri fika Tanga muulize mtu yoyote atakupa jibu hili hili,watu wakubwa kibao anawatibu na hati...
Wadau nasumbuliwa na Tatizo la Maumivu ya Pingiri za Uti wa mgongo kuanzia kwenye Kiuno pingiri S1,L5,L5 kipimo cha MRI kimeonyesha jle Ute umeisha na pingiri kidogo zimekuwa Bulge Disk na Herniated Disk hali hiyo ndiyo inafanya Nerves za Uti wa mgongo kubanwa na kuniletea maumivu,mwenye kujuwa...
Mimi nataka kujua kwamba,nasikia Biashara ya Mitumba yote viatu au nguo zinazuiwa na ukikamatwa nazo hizo Biashara ni kesi na ikithibitika Unafungwa,je ni kweli?
Tanzania bara tunainyonya Zanzibar na Zanzibar kwa jinsi Muungano ulivyo si km Nchi ni km Mkoa fulani wa Tanganyika,Duniani kote hakuna Muungano km huu uliopindapinda na baadhi ya Wazanzibari kinachowasumbua ni kuahidiwa rushwa ya vyeo tu kuwa wewe utakuwa Waziri na wewe utakuwa Makamu wa Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.