ITV na CHADEMA

ITV na CHADEMA

Mh. Sugu alikuwa anaendesha? Mfumo wetu wa elimu umetufikisha hapa kuwa na watu wa ajabu ajabu kama wewe, chuki zako kwa Mh Sugu zisikupotezee focus
Sugu siyo dereva, ameuwa vipi sasa? wakati mwingine tunawachonganisha viongozi na wananchi.
 
ridiculous pointless


kajifunze upya kutumia mihemko yako sio unaleta Uzi usio na mashiko kudhihaki watu

#resectyourself#
 
Mwambadog kuwa muungwana, mleta post amesema ukweli kwamba ITV ndivyo ilivyoripot,sasa wewe unajibu kwa hasira.
 
Hata kama alikuwa haendeshi yeye lakini kwanini dereva hajawekwa ndani kama wanavyofanyiwa madereva wengine? Kuna jambo kati ya Cdm, Polisi na ITV.
 
Kwahiyo hapa kero yako ni nini haswa?
Ukisema amenusurika kifo..unamaanisha kwamba Sugu anathamani kubwa kuliko huyo mtoto aliyekufa...habari kubwa hapa ni kifo cha mtoto na siyo kunusurika kwa sugu
 
Ukisema amenusurika kifo..unamaanisha kwamba Sugu anathamani kubwa kuliko huyo mtoto aliyekufa...habari kubwa hapa ni kifo cha mtoto na siyo kunusurika kwa sugu
ITV waliripoti hivi: Sema mijitu ya Lumumba mmelaaniwa, mnapotosha kila kitu.
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine wanne kujeruhiwa katika ajali mbili tofauti jijini Mbeya
 
f7435447ffa9bab2372f63cb4130d11a.jpg

pole sana ndugu
 
Sugu alikuwa abiria kwenye hii ajali ingawa yeye ndie mmiliki wa gari.

Dereva wake alijaribu kusimama kwenye zebra ili yule mtoto yule avuke barabara pale kwenye zebra lakini ndio ivyo tena breki zikafeli ajali ikatokea.

Hilo linaweza kumtokea mtu yeyote na ukumbuke gari ni kama mashine sometimes mashine inafeli kwasababu mbalimbali.
Jamani ajali ni ajali tu
Nakumbuka tarehe 12 nilikuwa natokea Tanga to Dsm kufika wami tukakuta basi flani nimechapa chini tukauliza chanzo wakadai basi ili fail break dereva akaona bora aidondoshee kule kule juu upande wa Tanga kwenda Dar kuliko kwenda kujiingiza mto wami

Kwa hiyo hivi vyombo wakati mwingine hitilafu zinajitokeza

Rest In Peace mwanafunzi
 
Sugu alikuwa abiria kwenye hii ajali ingawa yeye ndie mmiliki wa gari.

Dereva wake alijaribu kusimama kwenye zebra ili yule mtoto yule avuke barabara pale kwenye zebra lakini ndio ivyo tena breki zikafeli ajali ikatokea.

Hilo linaweza kumtokea mtu yeyote na ukumbuke gari ni kama mashine sometimes mashine inafeli kwasababu mbalimbali.
...ajali ni ajali kwa muhanga wa ajali. ..lkn uttering wa mfanyishaji ajali usitufanye tukawa mazuzu ktk kutafuta ri. ...kwa nini " gari in a you huduma mbunge ifeli breki? Kabla ya tukio la kufeli breki walitakiwa wapi? Walipita wapi na kwa spidi gani? Baada ya kumgonga msichana gari ilikwenda umbali gani na kwa spidi gani? Ilikata kona? Ngapi? Ilikatiza ktk makutano ya barabara? Mangapi? ...abiria atakuwa shahidi mzuri ama wa marehem au Dereva wake. ...mambo kwa pilato!
 
Kwa hiyo hao polisi waliopata ajali gari yao kupinduka sababu ni zipi?

Wakati mwingine tuheshimu taaluma za watu, hivi angesema xxx amegongwa na kufa nani angesoma hiyo habari maana aliyegongwa hafahamiki. Hivyo entry ni anayefahamika na ultimately na aliyegongwa kajulikana.

Lakini pia wakati anareport je polisi walishadhibitisha kifo cha aliyegongwa?
Kumbuka kifo kinadhibitishwa na watu mahsusi kwa kazi hiyo.

Usichojua uliza ama kaa kimya kuliko kuropoka kama jamaa yule.
 
Kwa hiyo hao polisi waliopata ajali gari yao kupinduka sababu ni zipi?

Wakati mwingine tuheshimu taaluma za watu, hivi angesema xxx amegongwa na kufa nani angesoma hiyo habari maana aliyegongwa hafahamiki. Hivyo entry ni anayefahamika na ultimately na aliyegongwa kajulikana.

Lakini pia wakati anareport je polisi walishadhibitisha kifo cha aliyegongwa?
Kumbuka kifo kinadhibitishwa na watu mahsusi kwa kazi hiyo.

Usichojua uliza ama kaa kimya kuliko kuropoka kama jamaa yule.
Na kwanini atangaze ambayo haijakamilika?
 
Back
Top Bottom