Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,675
- 126,869
Sugu siyo dereva, ameuwa vipi sasa? wakati mwingine tunawachonganisha viongozi na wananchi.Mh. Sugu alikuwa anaendesha? Mfumo wetu wa elimu umetufikisha hapa kuwa na watu wa ajabu ajabu kama wewe, chuki zako kwa Mh Sugu zisikupotezee focus