Maumivu makali ya mgongo (back pain) na tiba yake

Nina matatizo ya maumivu ya mgongo saiv inaweza kuchukua ata miaka mi3 waga unauma unaacha kwa yyt anaeweza nisaidia ushauri au dawa naomba anisaidie
 
Nina matatizo ya maumivu ya mgongo saiv inaweza kuchukua ata miaka mi3 waga unauma unaacha kwa yyt anaeweza nisaidia ushauri au dawa naomba anisaidie
Tumia vidonge vya organic calcium. Ni upungufu huo tu.
Kama huvipati ulipo mpigie huyu dkt akuagizia 0719794789.

Mimi pia nilikua na hilo tatizo nimepoma aslam
 
Tumia vidonge vya organic calcium. Ni upungufu huo tu.
Kama huvipati ulipo mpigie huyu dkt akuagizia 0719794789.

Mimi pia nilikua na hilo tatizo nimepoma aslam
Hivyo vidonge vinaweza kusaidia pia mtu aliyefanyiwa dozi ya chemotherapy Anapata maumivu makali ya mgongo na kiuno baada ya kumaliza matibabu
 
Habari zenu wadau,samahani naomba Kama Kuna anayejua dawa ya maumivu ya mgongo na kiuno,anisaidie ninapata maumivu mno hadi nashindwa kuinama,asanteni.
 
Nenda Tanga mjini uliza sehemu inaitwa Kibiboni ni njia ya kwenda Mombasa kwa Mzee Hassan huyu anawatibu watu na wanapona hata waliovunjika Miguu,nyonga,mikono na Tanga nzima wanamjuwa,ili ujue ni mzuri fika Tanga muulize mtu yoyote atakupa jibu hili hili,watu wakubwa kibao anawatibu na hati Wachezaji wa hizi timu kubwa anawatibu pale,nenda pale!
 
Dogo!

Nimekuwa na tatizo kama hilo, kwanza inaweza kuwa infection, kama homa ya mifupa, ambayo inaweza kutibika kama ukipewa hizo dawa ulosema, vile sasa inakaa dawa hizo zimeshindwa, hapo inakuwa msagano wa 'vertebrae' hua grease zake zinakwisha, mie nimesumbuka lakini Doctor mmoja rafiki yangu aliniandikia dawa hii....Zyrtal MR, uliza wenye kuuza dawa dosage yake.

Natumai zitakupa Afueni!!!

Ulipona?
 
Jamanh am having the same problem tena mimi ni both upper and lower back zinauma balaa, nikikaa, kusimama na kulala hakuna afadhali,kuna mtu kanambia nikamuone dr bake pale mail moja I heard ni doc mzuri wa mifupa, u can join me.

Nenda Tanga kibiboni wakatibu hilo tatizo na utawakuta wagonjwa kibao wa tatizo km lako pale
 
Habari zenu Wana jamvi,msaada naomba mwenye kujua dawa ya maumivu ya mgongo na kiuno,vinanisumbua Sana nashindwa Hadi kuinama,nimepima UTI na fangasi lkn hamna,pls mwenye kujua dawa ya asili naomba anijuze,asante
 
Habari zenu Wana jamvi,msaada naomba mwenye kujua dawa ya maumivu ya mgongo na kiuno,vinanisumbua Sana nashindwa Hadi kuinama,nimepima UTI na fangasi lkn hamna,pls mwenye kujua dawa ya asili naomba anijuze,asante
Pole sana i have the same...ulipona?
 
Mimi upande wangu wa kulia kuanzia shingo, bega na mguu vinauma tatizo ni kuchomwa na sindano. Je naweza kufanya kukaa sawa
 
Back
Top Bottom