Recent content by mauro

  1. mauro

    Nataka niwe mke wa pili

    upo wapi ? mimi nipo dar umri 41 nina watoto 2. Nimwajiriwa na nimejiajiri part time pia. Naishi Kibamba.
  2. mauro

    Msaada Huawei p7 imepoteza network

    Mawasiliano ya kawaida network connection
  3. mauro

    Msaada Huawei p7 imepoteza network

    APN iko empty nimejaribu kuangalia kwa mtu nae ipo empty bado anapata network. nimejaribu kuweka software inasema ipo up todate pia ?
  4. mauro

    Msaada Huawei p7 imepoteza network

    Wadau, poleni na majukumu ya siku. Naombeni msaada jinsi ya kurudisha network kwenye simu yangu P7 huawei nimejaribu setting-search network imegoma. nili factory reset simu ndio likajitokeza hili. Asanteni
  5. mauro

    Mke anahitajika

    Natafuta mwanamke wa kufahamiana na Mungu akitujalia kuoana. Umri kuanzia miaka 29-38. Awe mcha Mungu na mwenye Malengo.
  6. mauro

    Kusamahe: Kuna mengine huwa hayasameheki?

    Pole the Boss. Na Nakupongeza kwa kupata moyo wa kusamehe. MImi kusamehe nimeweka ni jambo la kawaida katika maisha yangu lakini mtu niliyemsamehe huwa simuamini tena yeye ndio huwa namwamchia jukumu la kufanya mimi nimwamini.kama hawezi fanya bidii ya yeye kuaminika mimi hukaa mbali nae kabisa...
  7. mauro

    Some girls you should grow up!

    Kitu kibaya sikuhizi wanawake ni wezi sana. swala baya zaidi ni sisi wanaume tunataka vitu vizuri wakati 1. uwezo navyo hatuna 2. Kupoteza muda 3. Kutokujua unataka nini ndani ya mahusiano. 1. Sikuhizi dada zetu ni mashindano kuanzia kuvaa, malazi,gari,pesa nk wanataka birthday party...
  8. mauro

    Msaada tatizo la kutowaka lg tv

    wakishabadilisha ndio jumla haitawaka mimi wamenibadilishia kama mara 4 bila mafanikio. LG zinamatatizo ya power supply.
  9. mauro

    Msaada tatizo la kutowaka lg tv

    mimi ya kwangu ilianza kama yako kwa sasa kitaa cha power mode kinawaka na kuzima wala TV haiwaki. LG inawezekana power supply yake sio nzuri nimepeleka kwa mafundi kama 4 bila mafanikio kwa sasa ipo store na Fundi nilieelekezwa kwake kupitia mdau wa humu anaishi Iringa na wanasema ndiye pekee...
  10. mauro

    Nitapata wapi fundi mzuri wa TV ?

    Alkelokas @ je unaweza kunitengenezea mpya ama hii iliyoungua utaipataje ?
  11. mauro

    Nitapata wapi fundi mzuri wa TV ?

    Alkelokas;9463429]Tatzo mi nko Iringa. je ni nini cha kufanya ? kuna uwezekano wa kutengeneza power supply nyingine ama hadi nitafute aina hii hii ? Usahauri wako ni nini ?
  12. mauro

    Nitapata wapi fundi mzuri wa TV ?

    Nipo Dar es salaam @ Alkelokas
  13. mauro

    Nitapata wapi fundi mzuri wa TV ?

    Habari za Leo wanajamvi, Nimepata tatizo la kuungua power supply wa TV yangu LG (FLatscreen) nimepeleka kwa mafundi kama 4 wote wameshindwa. Je kuna mtu anafahamu wapi naweza pata mafundi wazoefu ? Kwenye maduka ya LG nimewaomba ikashindikana kwani sikununua hii TV hapa Tz kwenye maduka yao.
  14. mauro

    Kero ya muungano kwa watanganyika

    NIkicomment sana hapa nitaambiwa UKAWA wacha niseme kuwa TANZANIA haijawahi kuwa na muungano sisi hapa ni mapatano wewe fanya hiki mimi nifanye hiki tuendelee kuishi.
  15. mauro

    UKAWA Wapigwa Bao la Kisigino

    Tatizo nchi hii vitu vya muhimu kama KATIBA tumelichukulia ni jambo la kisiasa zaidi wakati hili jambo ndio misingi ya nchi hujengwa nalo. Mimi siwalaumu wala sitoshabikia mtu lakini wananchi sisi wenyewe ndio tumekaa kimya bila hata kuonyesha msimamo tukaacha chama cha siasa kiamue jambo lolote...
Back
Top Bottom