Wewe ni mbumbumbu kweli,hakuna nondo wala gogo vinavyoongelewa na hao ccm,wote wanaongea pumba tu tena za kukaririshwa na mabwana zao,na wanachoongea ni kilekile,na kwakuwa ni ma mbumbumbu yamekalia kujadili wa tu badala ya hiyo rasimu,si waseme basi hiyo serikali 2wanayotaka itatatuaje kero za muungano,hawawezi maana tangu muungano hizi kero zipo tu,jk akasema hizo kero zinazungumzika,kivipi? Ikiwa tangu enzi na enzi kero zipo tu?au walikuwa hajui kuzizungumza sasa hivi ndiyo wamejuwa?mburula nyinyi!