Unaendelea kivipi!? Au hujasoma hitimisho la bandiko!? Anyway sidhani kama East Africa kwa kozi za agriculture na utafiti eti unaweza iacha SUA. Ndio maana napata mashaka
Haahaahaahaa,.. Mlikua 7 bwana. Au ndio kitete cha usaili. Anyway Mobisol haina longolongo. Ukijiamini na kujieleza vizuri basi unapata nafasi. Hakuna rushwa wala kujuana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.