Recent content by Maua kilasa

  1. M

    Freeman Mbowe na Wema Sepetu ndani ya penzi zito

    Ndiyo mlichotaka siyo :-)
  2. M

    Huu ndio ukomavu wa kisiasa tunahitaji Tanzania

    Tanzania kila mtuni tumbo lake tu hamna cha itikadi.
  3. M

    Ndugai ni Spika asiye na sifa za kuwa spika

    Ccm time is up if we are sane!
  4. M

    ACT up in arms over Magufuli job offers

    Inakuwaje wapinzani wafungiwe kufanya siasa halafu awapende hivo. Alisema nini akiwa Zanzibar.
  5. M

    Nakosa imani na mbunge wangu, Halima Mdee. Tufanyeje kumuondoa kikatiba?

    95% tuko nyuma yako Halima Mdee jembe letu :-) :-)
  6. M

    Kamati ya Nidhamu Bungeni,Inacheza na akili za Watanzania.Si ya kuamini kamwe.

    Kulikuwa na sababu kwa nini akatae kitoka. Speaker hakumsikiliza ombi lake. Huyu anastahili akutane na Malima wa Sa
  7. M

    Spika Ndugai: Askari nikisema mbunge atoke akikaidi mpigeni nawaruhusu

    Something is very wrong na speaker wa bunge letu. Sikuona ni nini mkasirisha kwani mnyika alikuwa anaomba msaada kwa speaker. Hii ina maana kuwa opposition hawana haki? Hii inapeleka ujumbe mbaya sana sisi tulio nje. Yeye alipotukanwa alisikia ila jana Mnyika anatukanwa yeye anaadhibiwa. Aibu...
  8. M

    Halima Mdee: Porojo za Dodoma haziniumizi

    Mdee ni jembe ndiyo maana mnafukuza. Mpate kusema ndiyo mapema
  9. M

    Halima Mdee: Porojo za Dodoma haziniumizi

    Ndugai yeye alimoiga finbo vipi. Je amewahi kushtakiwa? Mbona hatujawahi kusokia ile kesi. Alistahili kufungwa kabisa ama kwa kuwa ni wa kwao!
  10. M

    Nakosa imani na mbunge wangu, Halima Mdee. Tufanyeje kumuondoa kikatiba?

    Halima Mdee atabaki bungeni mpaka azeekee huko. Hii akili kubwa!!!! Haendi popote. Sahau kabisa.
Back
Top Bottom