Something is very wrong na speaker wa bunge letu. Sikuona ni nini mkasirisha kwani mnyika alikuwa anaomba msaada kwa speaker.
Hii ina maana kuwa opposition hawana haki?
Hii inapeleka ujumbe mbaya sana sisi tulio nje. Yeye alipotukanwa alisikia ila jana Mnyika anatukanwa yeye anaadhibiwa.
Aibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.