"All animal are equal, but other are more equal than other" by George Orwell in his novel "The Animal Farm" hii kaul huwa naitafakar sana mana ndo nachokiona mjengon, mana wote n wabunge lakn inaonekana kuna wabunge wana hak zaid ya kufanya lolote na wacchukulwe hatua yoyote, mfano Lusinde lakn hamna hatua yoyote alyochukulwa, upande wa pil ndo una tabu kwel kwel