Kwann sasaTumuombee huyu mama asijetumbuliwa,halafu akaomba hifadhi chadema,watamsananga na mapanga.
Kila mwezi ana milioni kadhaa.za mshahara.haa haa nimeamini njaa mbaya...
Katika watu waliokasirishwa na kitendo cha muungwana huyu kupewa ukuu wa mkoa wao ni chademaKwann sasa
Hilo nalo nenoLakini kwa kulinda hadhi yake kama mwenyekiti wa chama taifa angemteua kuwa mbunge kuliko ukuu wa mkoa
Sifa za kijinga huwa zinauwa kifo kibaya sanaDemocratic na Republican hufanyakazi na kuijenga Marekani kwa Pamoja.
Ukielezea(define) maana ya wanamaendeleo na kutoa mifano nitarudi........Nchi inajengwa na wanamaendeleo na siyo na wanaharakati ambao hupenda kupaza sauti ati "demokrasia".