ACT up in arms over Magufuli job offers

While I believe kuwa nia ya Rais Magufuli siyo KUUA UPINZANI maana uko katika katiba maana ni mzuri katika checks and balances KIDEMOKRASIA.

Bali naona nia kuu ni KUUNGANISHA nchi bila kujali vyama.

Hasa akiona kuwa kuna mtu BRAINY/MSOMI au mwenye AKILI na UBUNIFU aliyeko upinzani ambaye anaweza kuleta INPUTS zake katika maendeleo ya kuijenga nchi.

Maana Taifa na NCHI hii si Ya CCM wala ACT wala CHADEMA ila ni ya WATANZANIA wote walio katika wa vyama MBALIMABALI vya kisiasa.

Ila kwa sasa NI LAZIMA kila mmoja AKUBALI kuwa serikali INAYOONGOZA sasa ni ya CCM.
Na Kiongozi wake ana NIA NJEMA na nchi hii katika ya KULIUNGANISHA taifa bila kujali wewe ni chama gani.
Kwa hilo TUMPONGEZE badala ya kumlaumu.

Mkuu;
Are yu the President of this country?? If not, then just keep your views with yu. Yu must remember that our President has vowed not to share the leadership of this country with the opposition. Now, since when has he changed his stand?? If his declaration was made in public there in Zanzibar, why now has he revoked it secretly??
Basi, awe muwazi tumuunge mkono sio kutushutukiza. His actions has settled our minds that; This ACT-Wazalendo is nothing but the left arm of CCM.
 
Acha akili ya kushikiwa wewe! Nitakupa mfano rahisi tu wa Lema. Huyu angekuwa mbinafsi leo hii angekuwa CCM lakini kuonyesha yuko kwa maslahi ya Watanzania wote kaamua kubaki upinzani pamoja na manyanyaso yote. Na watu kama Lema nchini wapo wengi tu. Acha kuokota okota viquotes vyako visivyo na kichwa wala miguu.

Kila binadamu ni mbinafsi rejea post yangu nimemnukuu Nicholle Machiavelli. Usikurupuke kwenda mbele wakati nyuma hukuelewa, lazima utajivuruga tu.
 
Achana na hiyo Political Ideology uliyokaririshwa. Mi nasema kila mtu ni mbinafsi hata wewe au mimi tunaweza kuwa Wabinafsi. Ubinafsi gani yaani Positive au Negative ndio hoja? Achana na Lema anayekula Posho Laki Tatu kwa siku Bungeni.
Acha kuokota okota viquotes vyako visivyo na kichwa wala miguu.
Sema humjui Niccolle Machiavelli....Acha dharau kwa jambo ambalo kwa ujinga wako hulijui au kwa uhodari wako unalipuuzia.

"Niccolò Machiavelli (Italian: [nikkoˈlɔ makjaˈvɛlli]; 3 May 1469 – 21 June 1527), or more formally Niccolò di Bernardo dei Machiavelli, was an Italian Renaissance historian, politician, diplomat, philosopher, humanist, and writer. He has often been called the founder of modern political science." According to Wikipedia.
 
Acha ujinga wewe! Si kila quotes iko applicable kwenye real life. Wapo watu chungu nzima duniani ambao wanauweka ubinafsi wao pembeni kwa faida ya watu wengi katika nchi zao au dunia yote. Hivyo achana na dhana potofu ya kudhani kila binadamu hapa nchini/duniani huwa anatanguliza mbele maslahi yake badala ya yale ya binadamu wenzie. Fungua akili yako.

Sema humjui Niccolle Machiavelli....

Niccolò Machiavelli (Italian: [nikkoˈlɔ makjaˈvɛlli]; 3 May 1469 – 21 June 1527), or more formally Niccolò di Bernardo dei Machiavelli, was an Italian Renaissance historian, politician, diplomat, philosopher, humanist, and writer. He has often been called the founder of modern political science.
 
Acha ujinga wewe! Si kila quotes iko applicable kwenye real life. Wapo watu chungu nzima duniani ambao wanauweka ubinafsi wao pembeni kwa faida ya watu wengi katika nchi zao au dunia yote. Hivyo achana na dhana potofu ya kudhani kila binadamu hapa nchini/duniani huwa anatanguliza mbele maslahi yake badala ya yale ya binadamu wenzie. Fungua akili yako.
Unaongelea Ubinafsi Positive. Taratibu utanipata.
 
Siwezi kukupata unapoandika pumba humu. Watu wanapokuwa wapinzani wanapitia majaribu makubwa sana karibu kila siku au kila mwezi lakini hawakimbilii kujivua uanachama na kuwaacha wenzio solemba kwa sababu tu umerushiwa peremende na upande wa pili. Huo ni usaliti wa hali ya juu. Angebaki tu CCM badala ya kujibaraguza.

Unaongelea Ubinafsi Positive. Taratibu utanipata.
 
Siwezi kukupata unapoandika pumba humu. Watu wanapokuwa wapinzani wanapitia majaribu makubwa sana karibu kila siku au kila mwezi lakini hawakimbilii kujivua uanachama na kuwaacha wenzio solemba kwa sababu tu umerushiwa peremende na upande wa pili. Huo ni usaliti wa hali ya juu. Angebaki tu CCM badala ya kujibaraguza.
Acha uzwazwa wa kuingilia haki ya mtu kikatiba. Punguza mapovu...watu wa familia moja unakuta hawaelewani afu wewe unaongea nini?

Kumbuka Seif Sharif Hamad aliporushiwa peremende na S.U.K ? Mbona hujatolea mfano hilo.
Kwa hiyo Lowassa, Sumaye naye kuja Chadema wanajibaraguza na ni wasaliti? Mhhh ukiwa una complicate sana vitu lazima ujimix tu.
 
Wewe zuzu wa kutupa unakuja na viquotes vyako uchwara nakupa mifano halisi unaishia kumwaga povu zito.

Si kila binadamu hapa duniani ameweka mbele maslahi yake mpumbavu wewe. Lema huyo amesacrifice miezi minne ya kutengwa na familia yake na huyo dikteta uchwara lakini bado anapambana kwa manufaa ya Watanzania wote bila kujali itikadi zao.

Huyu mama ambaye hajawahi hata mara moja kumkosoa huyo dikteta uchwara kurushiwa peremende tu huyooo mbio bila hata kuwataarifu wenzie kwa kuwa ameweka mbele tumbo lake. Asingejibaraguza kwamba naye ni mpinzani angebaki tu kwenye chama cha wahuni na mafisadi.

Tia akili wewe ZERO BRAIN mwingine.


Acha uzwazwa wa kuingilia haki ya mtu kikatiba. Punguza mapovu...watu wa familia moja unakuta hawaelewani afu wewe unaongea nini?

Kumbuka Seif Sharif Hamad aliporushiwa peremende na S.U.K ? Mbona hujatolea mfano hilo.
Kwa hiyo Lowassa, Sumaye naye kuja Chadema wanajibaraguza na ni wasaliti? Mhhh ukiwa una complicate sana vitu lazima ujimix tu.
 
Inakuwaje wapinzani wafungiwe kufanya siasa halafu awapende hivo. Alisema nini akiwa Zanzibar.
 
  • Thanks
Reactions: GSL
Wewe zuzu wa kutupa unakuja na viquotes vyako uchwara nakupa mifano halisi unaishia kumwaga povu zito.

Si kila binadamu hapa duniani ameweka mbele maslahi yake mpumbavu wewe. Lema huyo amesacrifice miezi minne ya kutengwa na familia yake na huyo dikteta uchwara lakini bado anapambana kwa manufaa ya Watanzania wote bila kujali itikadi zao.

Huyu mama ambaye hajawahi hata mara moja kumkosoa huyo dikteta uchwara kurushiwa peremende tu huyooo mbio bila hata kuwataarifu wenzie kwa kuwa ameweka mbele tumbo lake. Asingejibaraguza kwamba naye ni mpinzani angebaki tu kwenye chama cha wahuni na mafisadi.

Tia akili wewe ZERO BRAIN mwingine.
Naona mfano wangu wa Seif Sharif Hamad unauruka kama kinyesi. Huyo Seif unayemuona shujaa wako ndio aliye muidhinisha shosti wake Kambale Duni awe mgombea wenu mwenza Ukawa ili kutekeleza na kuzitafuna kwa vitendo Peremende alizowarushia Lowassa kwenye nafasi ya Urais. Peremende za Lowassa zilikuwa tamu kwa hao wanasiasa unaowaona ni Role Model akiwemo shostito wako Lema.
Jipange tena na endelea kuniita Zuzu na Ziro Brain.
 
Utaifa kwanza chama baadaye, lengo la chama tawala nafikiri ni kuleta maendeleo na kutatuwa kero za wananchi, that's a common pledge..
 
Akili fupi hii. Huoni ile loyalty yake kwenye chama. Kaweka maslahi yake mbele badala ya chama. Angebaki tu CCM badala ya kujibaraguza kwamba naye mpinzani kumbe njaa tu zilikuwa zinamsumbua.
Huyu mama naamini atachukua au ana kadi ya CCM...

Si kwa Ngosha huyu...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkuu Aspirin angekuwa hataki kuwatosa wenzie angekuwa kishatia neno saa hizi lakini yuko kimya wenzie wanamtafuta hapatikani angeweza yeye kuwapigia au hata kutuma email/text message lakini kauchuna kimyaaa!

Huyu mama naamini atachukua au ana kadi ya CCM...

Si kwa Ngosha huyu...
 
I think this has to do with ACT members. But bad enough those who are blaiming are not the members.
An appointment is not an issue to speak but an aim of appointment.
We dont know exactly the real purpose to mr president...is it real he want to make power sharing or doing this with aim of suppressing opposition parties espeacialy ACT wazalendo!?
ALL IN ALL LET IT BE DONE. WE ARE BUILDING ONE NATION.
Monday, June 5, 2017
ACT up in arms over Magufuli job offers

pic+ACT.jpg

Ms Anna Mghwira

In Summary

Monday, June 5, 2017

ACT up in arms over Magufuli job offers


By Louis Kolumbia @Collouis1999 lkolumbia@tz.nationmedia.com

Dar es Salaam. The opposition party, ACT-Wazalendo, yesterday said it was concerned by the growing trend of President John Magufuli to give government jobs to its senior cadres, noting that this threatens the strength and image of the party.

President Magufuli on Saturday appointed ACT chairperson Anna Mghwira the Kilimanjaro Regional Commissioner. Ms Mghwira’s appointment comes barely two months after another ACT senior cadre and advisor, Prof Kitila Mkumbo, was named permanent secretary in the Ministry of Water and Irrigation.

Speaking in interviews at separate occasions with The Citizen, party leader Zitto Kabwe and Communications Officer, Mr Abdallah Khamis, said they have doubts over the intentions of President Magufuli in these appointments.

President Magufuli did not discuss the appointments with ACT leaders before the announcements were made, according to Mr Kabwe. In the appointment of Prof Mkumbo in April, the party had reservations but the leadership decided “to focus on having good faith towards the President” while acknowledging the fact that Prof Mkumbo, who was teaching at the University of Dar es Salaam, was a public servant any way, Mr Kabwe added.

However, the appointment of Ms Mghwira is something else, he notes, adding:

“This second appointment has increased our doubts on the intention of the President and his government. Our first instinct is that it does more harm than good to the party,” Mr Zitto told The Citizen yesterday in an e-mailed response to questions sent to him.


He says furher: “ACT is a young party, therefore, vulnerable. Both within and outside the party, that vulnerability can become a liability, especially when political pressure is high. Every member we lose is a hit against us at ACT and more so for every leader we lose.”

Mr Khamis told The Citizen yesterday that he was concerned about the image the appointments give to the party. “It can now be easy for the people to build the notion that ACT is politically affiliated to CCM, something which is not correct. And then, President Magufuli is targeting the party’s outspoken and visionary leaders who have demonstrated strong leadership since the founding of the party,” he said.

Mr Khamis also wondered why, if President Magufuli did not care about the political ideologies of his appointees, did not appoint politicians from other opposition parties to his government.

“He shouldn’t limit himself to ACT-Wazalendo. He should appoint members of other opposition parties because all Tanzanians have equal rights to contribute to country’s development, if that is his intention,” Mr Khamis said.

Will ACT allow Ms Mghwira to serve as RC?

Both Mr Kabwe and Mr Khamis said they have not yet had an opportunity to discuss the appointment with Ms Mghwira because she was out of the country.

Mr Kabwe said the party has decided against impulsive reaction to the appointment and was waiting till they have had a chance to “discuss and agree as a party on the way forward.”

Mr Khamis, for his part, told The Citizen that the decision on whether to accept the appointment could, ultimately, be that of Ms Mghwira. She would have to relinquish her position at ACT, if she decides to accept the appointment.

Commentators react

Yesterday political commentators said they thought that President Magufuli’s appointment of ACT Wazalendo senior leaders was a strategic move aimed at weakening the Opposition.

The Open University of Tanzania (OUT) lecturer, Dr Hamad Salim, said President Magufuli’s appointment was aimed at implementing his pledge to weaken the Opposition by 2020 with pacifying outspoken politicians through involvement in his government in order to share challenges of leading the country.

He said the country lost the philosophy to guide the trends of country’s economy and politics after replacing the Arusha Declaration with the Zanzibar Declaration in the early 1990s, saying ACT Wazalendo was considered to provide the Opposition with the philosophy through the Tabora Declaration.
 
While I believe kuwa nia ya Rais Magufuli siyo KUUA UPINZANI maana uko katika katiba maana ni mzuri katika checks and balances KIDEMOKRASIA.

Bali naona nia kuu ni KUUNGANISHA nchi bila kujali vyama.

Hasa akiona kuwa kuna mtu BRAINY/MSOMI au mwenye AKILI na UBUNIFU aliyeko upinzani ambaye anaweza kuleta INPUTS zake katika maendeleo ya kuijenga nchi.

Maana Taifa na NCHI hii si Ya CCM wala ACT wala CHADEMA ila ni ya WATANZANIA wote walio katika wa vyama MBALIMABALI vya kisiasa.

Ila kwa sasa NI LAZIMA kila mmoja AKUBALI kuwa serikali INAYOONGOZA sasa ni ya CCM.
Na Kiongozi wake ana NIA NJEMA na nchi hii katika ya KULIUNGANISHA taifa bila kujali wewe ni chama gani.
Kwa hilo TUMPONGEZE badala ya kumlaumu.
Unapingana na Rais mwenyewe. Si juzi juzi tu alipokuwa Unguja alimshangaa Shein kwa kuteua wapinzani kwenye serikali yake akasema yeye hatateua mpinzani kwenye serikali yake? Tena alisisitiza kuwa hakuna mpinzani atakaye kanyaga kwenye serikali yake, sasa leo unaongea nini? Au hakusema hivyo?
 
We are not building anything in this country Sir. The only thing that we're building is extremely poverty.

I think this has to do with ACT members. But bad enough those who are blaiming are not the members.
An appointment is not an issue to speak but an aim of appointment.
We dont know exactly the real purpose to mr president...is it real he want to make power sharing or doing this with aim of suppressing opposition parties espeacialy ACT wazalendo!?
ALL IN ALL LET IT BE DONE. WE ARE BUILDING ONE NATION.
 
Back
Top Bottom