Mshangao: Kwenye vikao vya chama wanaufyata bungeni wanafanya fujo

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
Hebu tuwe honest kidogo...hizi fujo wanazozifanya kina Mdee,Mnyika,lema na Bulaya wanapokuwa bungeni huwa zinatokea kwenye vikao vya ndani vya chadema?

Laiti hizi fujo wanazofanya bungeni wangezifanya ndani ya chama nini kingetokea?

Kwa nini hawatumii nguvu na vurugu kuhoji magumashi ya Mwenyekiti mfano...uhusika wake na madawa ya kulevya,sex scandals,ukwepaji kodi na kuhongwa fedha na upendeleo kwa baadhi ya wanachama?

Kwa nini hawatumii nguvu na vurugu kuulizia matumizi ya ruzuku ambapo hata ujenzi wa ofisi umeshindikana?

Hii hulka ya vurugu ni pale tu wanapotoka nje ya nyumbani kwao????

Karibuni kwa mjadala [HASHTAG]#TeamKK[/HASHTAG] aka Team kufa kunoga
 
Hebu tuwe honest kidogo...hizi fujo wanazozifanya kina Mdee,Mnyika,lema na Bulaya wanapokuwa bungeni huwa zinatokea kwenye vikao vya ndani vya chadema?

Laiti hizi fujo wanazofanya bungeni wangezifanya ndani ya chama nini kingetokea?

Kwa nini hawatumii nguvu na vurugu kuhoji magumashi ya Mwenyekiti mfano...uhusika wake na madawa ya kulevya,sex scandals,ukwepaji kodi na kuhongwa fedha na upendeleo kwa baadhi ya wanachama?

Kwa nini hawatumii nguvu na vurugu kuulizia matumizi ya ruzuku ambapo hata ujenzi wa ofisi umeshindikana?

Hii hulka ya vurugu ni pale tu wanapotoka nje ya nyumbani kwao????

Karibuni kwa mjadala [HASHTAG]#TeamKK[/HASHTAG] aka Team kufa kunoga

Wakitoka msibani watakuja kujibu.
 
Hebu tuwe honest kidogo...hizi fujo wanazozifanya kina Mdee,Mnyika,lema na Bulaya wanapokuwa bungeni huwa zinatokea kwenye vikao vya ndani vya chadema?

Laiti hizi fujo wanazofanya bungeni wangezifanya ndani ya chama nini kingetokea?

Kwa nini hawatumii nguvu na vurugu kuhoji magumashi ya Mwenyekiti mfano...uhusika wake na madawa ya kulevya,sex scandals,ukwepaji kodi na kuhongwa fedha na upendeleo kwa baadhi ya wanachama?

Kwa nini hawatumii nguvu na vurugu kuulizia matumizi ya ruzuku ambapo hata ujenzi wa ofisi umeshindikana?

Hii hulka ya vurugu ni pale tu wanapotoka nje ya nyumbani kwao????

Karibuni kwa mjadala [HASHTAG]#TeamKK[/HASHTAG] aka Team kufa kunoga

hauwatakii mema wenzako

wafanye fujo mbele ya mbowe? lema? sugu? mwita......kule ni adabu na si ajabu washapitiwa hao wote na bwana mkubwa

ili wawe relevant kwa jamii kwa kipindi hiki, that is the best move ya kufanya. ndio ujanja kwao

ila kwa rekodi zangu wanasiasa kuitwa mwizi, ccm washaambiwa sana, cdm,cuf...n.k

hakuna ajabu kuitwa mwizi na haina haja ya kupanick....watu wanaitwa mpaka mashoga ..hawana marinda!!!

angetulia tu
 
hauwatakii mema wenzako

wafanye fujo mbele ya mbowe? lema? sugu? mwita......kule ni adabu na si ajabu washapitiwa hao wote na bwana mkubwa

ili wawe relevant kwa jamii kwa kipindi hiki, that is the best move ya kufanya. ndio ujanja kwao

ila kwa rekodi zangu wanasiasa kuitwa mwizi, ccm washaambiwa sana, cdm,cuf...n.k

hakuna ajabu kuitwa mwizi na haina haja ya kupanick....watu wanaitwa mpaka mashoga ..hawana marinda!!!

angetulia tu
Wewe huna tofauti na mnyama kongoni ukiitwa mwizi ukikaa kimya manake umekubali wewe ni mwizi! Akili ya kongoni inawaza ngono always Kama wewe
 
Yaani sijui unaakili za namna gani Mkuu jingalao , anyway let me ask, Leo wewe ndio umepewa kijiti cha kuwa front line katika battle field huku JF?

Na ukiwa front line malipo yanaongezeka per post au Ni buku 7 kama kawa?
Na wewe umepewa kazi ya kuzuia mashambulizi?
Hebu jaribuni kukua na kujibu hoja nzito zinazoulizwa na huu ndio utifauti mkubwa kati ya bavicha kufa kunoga vs bavicha asili.

Unataka kuniambia fedha yote ya ruzuku mnalipia wapambe wa mitandaoni hadi mnashindwa kujenga ofisi?

BAAACK TO TOPIC
 
Hebu tuwe honest kidogo...hizi fujo wanazozifanya kina Mdee,Mnyika,lema na Bulaya wanapokuwa bungeni huwa zinatokea kwenye vikao vya ndani vya chadema?

Laiti hizi fujo wanazofanya bungeni wangezifanya ndani ya chama nini kingetokea?

Kwa nini hawatumii nguvu na vurugu kuhoji magumashi ya Mwenyekiti mfano...uhusika wake na madawa ya kulevya,sex scandals,ukwepaji kodi na kuhongwa fedha na upendeleo kwa baadhi ya wanachama?

Kwa nini hawatumii nguvu na vurugu kuulizia matumizi ya ruzuku ambapo hata ujenzi wa ofisi umeshindikana?

Hii hulka ya vurugu ni pale tu wanapotoka nje ya nyumbani kwao????

Karibuni kwa mjadala [HASHTAG]#TeamKK[/HASHTAG] aka Team kufa kunoga

Hizo vurugu umeziona kikao kipi cha ccm????

Nways nikuulize,kwanini ukali na ujengaji hoja waliokuwa nao wabunge wa ccm katika sakati hili umekuwa wa aina yake?Kwann wasingekuwa wakali hivyo katika mijadala ya nchi bungeni?Hata Escrow,Epa ,Kagoda na mengineyo hawakuwa wakali hivi hawa wabunge wa ccm!
Yaani jana utafikiri Bulaya na Halima ndio kilichowapeleka bungeni,hata wasiojua kunyosha maelezo jana walijitutumua!Kwann nguvu hiyo msitumie kuibana na kuielekeza serikali?
 
Back
Top Bottom