jaman m nashindwa kuelewa nilchaguliwa round ya kwanza dp ya pharmacy na baada ya kuchagiwa kulkua hakuna selection nyingne yan second wala third sasa nashangaa tulchaguliwa 123 naona yapo majna 50 yameandikwa verified na wenzangu wametapa join instruction m sijapata jaman msaada hapo inakuaje
Nyie madem jirekebishen utakuta ki mtu hakna nyama kina vaa dela mna n kera kama nn wa achen wenzenu wenye chura wajinafasi ma dem vi mbao mbao mna boa dawa zipo ka nene peshen hzo chura
Hawakuachi..? . wee subr miaka 3 mbele ndo utaona hutujui sisi ukisha zaa K inakua mdebwedo + umri umekwenda aaah tuna download vtu vipya tu we tuna kuweka pending
Anae kupenda kiukweli n yule unaesema bahil maana kaweza kua bahili hata kwa kuwanyima penz wanawake wengne na kukuweka wewe kama nafas yake moyon hao walio na wake zao kama wataweza kuwasalit wake zako na kuwa na wewe bas amin kwamba hata wewe hivo hivo wata kuzalisha na kutafta wengne na...
Nime fatilia na kujua shule n ya vilaza tu wana HGL TU hawana ile mizki yetu ya akina PCM PCM PGM EGM ECA vilaza tu hao hata waki faulishwa watasomea ualimu tu bora hata tungeona doctor au engineer ana toka chato pale wote n walm au wana siasa HGL 🤣🤣
Kitu cha wiz faida n 100% sa hapo mauzo bei unajpangia ukiwa na duka la jumla lina save sana umeuza vtu vya jumla tuseme v box kila k moja kina faida buku au jero ume sambaza pice 1000 kwa siku hyo n dawa moja bado hesabu ya dawa nyingne faida sio chn ya laki 4 au 5 kwa siku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.