Recent content by Matyenu

  1. M

    mbona UDOM hawajan tumia join instruction mpaka sa hv

    jaman m nashindwa kuelewa nilchaguliwa round ya kwanza dp ya pharmacy na baada ya kuchagiwa kulkua hakuna selection nyingne yan second wala third sasa nashangaa tulchaguliwa 123 naona yapo majna 50 yameandikwa verified na wenzangu wametapa join instruction m sijapata jaman msaada hapo inakuaje
  2. M

    Dera bila chura ni sawa na kanzu Tu!!!!

    Nyie madem jirekebishen utakuta ki mtu hakna nyama kina vaa dela mna n kera kama nn wa achen wenzenu wenye chura wajinafasi ma dem vi mbao mbao mna boa dawa zipo ka nene peshen hzo chura
  3. M

    Nina wanaume watatu nilio nao kwenye mahusiano. Nimchague yupi?

    Hata kama huzai utafunuliwa huko chini tu na kama una ndoto za kuolewa sa za nn kama huzai we lazma utanuke K tu
  4. M

    Nina wanaume watatu nilio nao kwenye mahusiano. Nimchague yupi?

    Hawakuachi..? . wee subr miaka 3 mbele ndo utaona hutujui sisi ukisha zaa K inakua mdebwedo + umri umekwenda aaah tuna download vtu vipya tu we tuna kuweka pending
  5. M

    Nina wanaume watatu nilio nao kwenye mahusiano. Nimchague yupi?

    Hahahaha tunaomba screenshot zake
  6. M

    Nina wanaume watatu nilio nao kwenye mahusiano. Nimchague yupi?

    Anae kupenda kiukweli n yule unaesema bahil maana kaweza kua bahili hata kwa kuwanyima penz wanawake wengne na kukuweka wewe kama nafas yake moyon hao walio na wake zao kama wataweza kuwasalit wake zako na kuwa na wewe bas amin kwamba hata wewe hivo hivo wata kuzalisha na kutafta wengne na...
  7. M

    Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

    Ila jaman m mbona hua sipat shida kwa hawa viumbe wa kike m nawatongoza vzr tu na nao wataka yan nime wa admire nawapata na nawa kwichkwich vzr kabisa
  8. M

    This accessory is not supported by this device.

    Acha kununua v waya bya sh buku 5 sijui buku 7 hzo n fek kanunue original ndo hlo tatzo huta liona
  9. M

    Unakufa. Challange karibuni

    Una ninyima viazi unakula mwenyewe na huna maji unakula unakufa
  10. M

    Unakufa. Challenge karibini

    Una ninyima viazi unakula mwenyewe na huna maji unakula unakufa
  11. M

    Chato: Serikali yatoa Tzs 700m kwa ajili ya ujenzi wa shule ya Msingi Maalum na ujenzi wa maktaba ya kisasa Sekondari ya Magufuli

    Nime fatilia na kujua shule n ya vilaza tu wana HGL TU hawana ile mizki yetu ya akina PCM PCM PGM EGM ECA vilaza tu hao hata waki faulishwa watasomea ualimu tu bora hata tungeona doctor au engineer ana toka chato pale wote n walm au wana siasa HGL 🤣🤣
  12. M

    Unakufa Thread

    Unakufa
  13. M

    Nina milion 1, Nataka Passport?

    Hakuna mjnga kwa hyo kaz Na usalama wa taifa wapo humu humu Ana weza akajfanya atakusaidia mna peana contacts hapo kimenuka
  14. M

    Bahati nasibu ya kuhamia Marekani-dv 2020 imeanza rasmi

    Kitu cha wiz faida n 100% sa hapo mauzo bei unajpangia ukiwa na duka la jumla lina save sana umeuza vtu vya jumla tuseme v box kila k moja kina faida buku au jero ume sambaza pice 1000 kwa siku hyo n dawa moja bado hesabu ya dawa nyingne faida sio chn ya laki 4 au 5 kwa siku
Back
Top Bottom