Wadau mambo vipi?
Mdogo wangu anataka kusoma Shahada ya Uzamili katika Masoko (Masters in Marketing).
Je, achague chuo gani kati ya hivyo viwili chenye quality education?
Kuna taarifa nilizisikia kwa mtu lakini kwa bahati mbaya sikuzielewa zinamanisha nini hasa.!
Eti kwamba raia wa Tanzania tumepigwa marufuku kuingia uingereza kabisa au ukiingia uingereza lazima uende quarantine kwanza...naombeni kunifahamisha kwa yeyote alie na uhakika na habari hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.