Recent content by Matonyanga

  1. M

    JamiiForums Tanzania Msekwa: Lowassa ndio nani kwa CCM? Ametawaliwa na tamaa, uchu wa madaraka. Mtikila kwenda kortini

    Mlisubiri ahamie CDM? mkitaka asipate umaarufu mwacheni mkimfuatilia tutajua kuna kitu na hapo mtamwpngezea umaarufu
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wiki hii ni mwanzo wa Zitto kujua uongo na utapeli wa kisiasa wa CCM

    Atajifunza kwa makosa, siasa zahitaji uvumikivu na hasa hizi za ukimwengu wa tatu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kwaheri lowassa jaribu tena 2020

    Lowasa kama ataondolewa atakuwa ameponzwa na kuamini katika matumizi ya hela, asingekuwa na vibweka kama vile tayari kampeni imeanza inawezekana angepita
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kumekucha Dodoma zengwe laandaliwa kumkata mtu

    ccm wakimweka Lowasa UKAWA kampeni yao inakuwa rahisi kwani si msafi kuuzika kwa watu wenye maadili
  5. M

    JamiiForums Tanzania Augustino Ramadhani: Chaguo la system

    Rutunga M Huyu ni mtu safi ambaye ndiye anaweza kumaliza makundi kwa sasa ndani ya CCM
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye Wasifu wa Mhe. Charles Mwijage naomba anijuze pls

    Usimjadili mtu kwa kabila lake, mjadili kwa tabia yake, ukisha mjadili kwa kabila unakuwa umeingiza wengi
  7. M

    JamiiForums Tanzania UKAWA yalaani upotoshaji unaofanywa dhidi ya umoja huo

    Molemo Tena Prof yupo tayari kuwa meneja wa kampeini zamgombea waUKAWA-BBC Leo asubuhi
  8. M

    JamiiForums Tanzania Anataka tuachane, kisa simridhishi

    Hata kuandika kiswahili hujui, mchafuzi wa lugha wewe hufai ndio maana uliachwa.Yawezekana ni mchafuzi wa mabo yote
  9. M

    JamiiForums Tanzania Maneno haya ni Magumu kwa Mh. Lowassa kuyatamka.

    Hawezi kutamka maneno hayo mh Lowasa
  10. M

    JamiiForums Tanzania Lowassa: Siwezi kumjibu mtu aliyebwabwaja kuwa nakusanya watu kupata uungwaji mkono!

    Hakika kama kuna viongozi wa dini wanaojiingiza huko kwa mtindo huo hwatufai
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

    Siasa hutumia sana mtaji wa muda, kama kuna mifumo imara ya kinidhamu ndani ya UKAWA Lowasa anaweza kuwa kiongozi mzuri kwani mifumo hiyo inaweza kumshape, wasiwasi wangu ni historia yake na uwezo wake mkubwa wa KIFEDHA na IMANI yake kwamba yeye tu ndie anafaa kuwa rais.Pia naogopa falsafa...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu na mwanasheria mkuu wa serikali-Werema, nani kinara bungeni

    Ninapojibu topic hii ni kwamba Werema kaachia ngazi, nguli hapa ni Toto Tundu la Lisu, hili toto si nguli tu limegeuka kamusi ya bunge Mpaka Mama Makinda anauliza usahii wa mambo yahusuyo sheria, rejea kikao cha mjadala wa ESCROW.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema ajiuzulu

    Ni heri wote waliohusika wakafuata nyayo za Werema
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kiini cha Falsafa, dini za Uislamu na Ukristu ni Afrika

    Karibu, tupe hoja tujielimishe
  15. M

    JamiiForums Tanzania Fumanizi live, je utachukua hatua gani?

    Pole, huyo mwanamume ni mshenzi lakini muulize anaweza akawa na sabau ya kufanya hivyo
Back
Top Bottom